Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
[BOSS]:kampuni yetu inapendelea zaidi watu wasafi,je kabla hujaingia ofisini kwangu ulikumbuka kufuta viatu vyako kwenye tambara hapo nje?.[JAMAA]:>Bila shaka mkuu,nilikumbuka kufanya hivyo. [BOSS]:>Kampuni yetu pia inapendelea watu waaminifu na wakweli,wewe ni mwongo,mlangoni kwangu hakuna tambara la kufutia viatu,toka nje mwingine aje!