Kabla sijawajua vizuri wachungaji nilikuwa nikishangaa kuona watoto wao wakiwa wahuni, baada ya kuwajua vizuri, nilielewa watoto wameritihi tabia

Kabla sijawajua vizuri wachungaji nilikuwa nikishangaa kuona watoto wao wakiwa wahuni, baada ya kuwajua vizuri, nilielewa watoto wameritihi tabia

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,451
Hapo zamani nilikuwa nikishangaa kumuona mtoto wa mchungaji ni mzinzi, tapeli, mwizi, muongo, mlevi, n.k.

Lakini baada ya kuona wachungaji wengi hasa wenye makanisa yao wakitajirika na kuishi maisha ya anasa kwa sadaka za waumini, skendo za kutembea na waumini, kufeki miujiza, n.k. sikuona cha ajabu kwa watoto, ni tabia za kurithi.
 
Sr God akusamehe, anyway yule mwamba alikuwa anajua kunitongozea na kuniletea vitu vikali hadi mlangoni, Mungu ambariki sana licha ya kushiriki ujinga wangu hakuwahi kutenda dhambi ya uzinzi hata siku moja.
 
Wanakuambia mwana hataubeba uovu wa mtoto wala baba hataubeba uovu wa mwana. Kuna changudoa anasema imani ya wazazi wake haimuhusu. Unakuta mchungaji ana watoto wavuta bangi, walevi, machangudoa, wapagani huku anakomalia watoto wa watu ni watenda dhambi. Akibanwa kuhusu watoto wake anajibu hatabeba uovu wa watoto wake
 
Wanakuambia mwana hataubeba uovu wa mtoto wala baba hataubeba uovu wa mwana. Kuna changudoa anasema imani ya wazazi wake haimuhusu. Unakuta mchungaji ana watoto wavuta bangi, walevi, machangudoa, wapagani huku anakomalia watoto wa watu ni watenda dhambi. Akibanwa kuhusu watoto wake anajibu hatabeba uovu wa watoto wake
Sasa bangi imeingiaje hapo mkuu?

Kwani kosa la bangi ni nini?
 
Sasa bangi imeingiaje hapo mkuu?

Kwani kosa la bangi ni nini?
ni kilevi kisichotakiwa tanzania, bingi imo kwenye kundi la dawa za kulevya. Ukikamatwa una bangi utashitakiwa na kufungwa kwa mujibu wa sheria za tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom