Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
Pengine hilo ni Jimbo ambalo lipo chini ya Chadema
kwani chadema ndo wanaongoza nchi?? ndo mwisho wako wa kufikiria hapo sikulaumu sana
Pengine hilo ni Jimbo ambalo lipo chini ya Chadema
Fedha za walipa kodi wa Tanzania, wanazo jilimbikizia kwa manufaa yao na watoto wao, zielekezwe kwenye huduma za jamii. Hii itasaidia kuboresha maisha ya Mtanzania wa chini.
Tatizo kubwa ni wale wazee waliopigika vijijini. Wakipewa kofia, t-shirt na bakuli la pombe kilabuni wanaona ccm ni Mungu wao! Amini usiamini hali iko hivyo na sijui tutafanyeje Ngonini.Mwakani tunapiga kura kama tunapiga mwizi! Hatuachagui mtu tunachagua chadema hata kama mgombea wa ccm ni malaika piga chini so long as ni ccm! TuKifanya kosa lingine la kurudisha ccm hawa watoto watatulaani milele!
Hii picha ililetwa hapa hapa JF kutokea mitandao mingine zaidi ya mwaka uliopita.
Hiyo ni shule binafsi ya chekechea.
https://www.jamiiforums.com/jamii-photos/433351-picha-zangu-mpya-mpya-hizo-angalia.html