Kabla hujalala tunaomba ushauri wako

Kabla hujalala tunaomba ushauri wako

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,458
10464254_10203305574572740_4394982007678025989_n.jpg

kama mtanzania unamaoni gani kwa serikali yetu sikivu ya ccm.
 
Waondoke Madarakani Wamezeeka,Wakalee Wajukuu.....
 
Hata wakipewa miaka mingine 1000 hali hii haitabadilika.Rais anatengewa 50bn za safari huku hali ndivyo ilivyo mbaya kwa watoto wetu
 
Mkuu hata waende makanisani na misikitini kuomba ili wasamewe haitawezekana. Dhambi zitawafuata mpaka mwisho wa MAISHA YAO.
 
Wameshindwa kutumikia wananchi kwa kufanya kila huduma ya umma kuwa ni ya kulipia. WAONDOKE TUMEWACHOKA.
 
Mkuu hata waende makanisani na misikitini kuomba ili wasamewe haitawezekana. Dhambi zitawafuata mpaka mwisho wa MAISHA YAO.

watubu mapema kabla Mungu hajawaadhibu
 
MKUU hii ni shule kutoka wapi? Mkoa wa CCM au B....MOYO?
 
Wameshindwa kutumikia wananchi kwa kufanya kila huduma ya umma kuwa ni ya kulipia. WAONDOKE TUMEWACHOKA.

Mwakani tunapiga kura kama tunapiga mwizi! Hatuachagui mtu tunachagua chadema hata kama mgombea wa ccm ni malaika piga chini so long as ni ccm! TuKifanya kosa lingine la kurudisha ccm hawa watoto watatulaani milele!
 
wamekienzi chama kwa hiyo sare bila kujijua
 
harafu nchi yetu inamiti kibaoooo
 
Pengine hilo ni Jimbo ambalo lipo chini ya Chadema
 
Back
Top Bottom