Zikiwa zimebaki siku chache tu za kupiga kura za uchaguzi wa Urais , Ubunge na Udiwani , tayari tumeisha anza kusikia mgongano wa vyama vya upinzani.
Ni kama vile watoto yatima , Maalim Seif anamshangaa Mgombea Urais wa chama chake upande wa JMt kuwa kwanini anapiga kampeni za kugombea Urais wakati walishakubaliana kuwa wanamuunga mkono mgombea urais wa chama cha CHADEMA
Wakati huo huo mgombea kupitia ACT Wazalendo anasema kumuunga mkono mgombea Urais mwezako kisheria haikubaliki. Wananchi wanafanywa mazwazwa
Sasa sijui hizi siasa au mipasho?
Ni kama vile watoto yatima , Maalim Seif anamshangaa Mgombea Urais wa chama chake upande wa JMt kuwa kwanini anapiga kampeni za kugombea Urais wakati walishakubaliana kuwa wanamuunga mkono mgombea urais wa chama cha CHADEMA
Wakati huo huo mgombea kupitia ACT Wazalendo anasema kumuunga mkono mgombea Urais mwezako kisheria haikubaliki. Wananchi wanafanywa mazwazwa
Sasa sijui hizi siasa au mipasho?