junior ziro-ii
Member
- Nov 21, 2013
- 23
- 6
Nimeenda ktk mkoa fulani na kukutana na kali ya mwaka baada ya kumsalimia mtu aliyenizidi umri "shikamoo" naye kanijibu shikamoo na mimi kuduwaa kwa kushindwa nijibu nini...! Je, kuna mikoa au jamii ambayo hawajui au kutotumia kabisa hii salamu?