The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
na hawa:
- wanyiramba,
- wabena
- wasandawe
- wanyaturu
Tujuzeni jamani
warangi
wanyaturu
wanyiramba
sifa yao kubwa ni uchoyo,na roho ndogo.na pia ushirikina na kukeketa wasichana.
na hawa:
- wanyiramba,
- wabena
- wasandawe
- wanyaturu
Tujuzeni jamani
wa kwetu kwa kweli ni wavivu sana si wanaume wala wanawake.Wanapenda vya dezo,kwa ngoma na minuso huwaelezi kitu wako tayari wafunge safari ya umbali mrefu kuja kusherehekea ngoma halafu akifiak jiandae kumtafutia nauli ya kurudia kwao....hata kwenye maguezi ya siasa wako nyuma sana..wao pesa mbele kuliko kupata kiongozi bora..but ni wakarimu sana na wana umoja sana.
wakuu nipeni taarifa kuhusu haya makabira,
wabende,
wapimbwe
wazigua,
wamanyema,
wajaluo,
wakinga
Watu wa kabila langu ni wapole, wenye heshima, wanamapenzi ya kweli kwa wake zao, hodari wa kazi, ni wafugaji, wakulima, wavuvi,wachimba madini, ni wafanyabiashara, ni kabila lenye watu wengi kuliko kabila lolote hapa nchini, tunataniwa na kila mtu, ni washamba, tunakandamiza maneno, tunapenda wanawake weupe, sisi ni warefu, wapana na wenye nguvu.
je watu wa kabila lako wana sifa gani?
wapare Je?
Vipi wasukuma?
vyako vyangu vyangu vyako
wazaramo....mdomo mwingi na uvivu...
wadigo......ngono tu..na ushirikina..
wahaya.....umalaya.....na masifa masifa...
wachaga...wizi,na kutafuta pesa..
wahehe....utiifu,na kazi za ndani....
wasambaa...kulima sana,na ucheshi
wamakonde...ngoma,na kazi za ulinzi
wamasai...wana maadili,na kazi za ulinzi..
wagogo....kuomba omba tu
waha...ubishi na kijifanya wanajua..
wakwere....uvivu na starehe
wanyamwezi.....ujuaji nao kama wazaramo.
wafipa ....uchawi nakulima sana.
wanyakyusa...kulima sana na kujisikia sana.[/QUOTE]
si wote, kwetu MWAKALELI, hatuna hiyo ni wapole, tunapenda kulima hapo una utani na Mwamnyange na Dr Mwakyembe wewe eeee!
mnhhhh, kina NSHOMILEaccording to some ppl, ninaweza kusema kabila langu lina sifa ya kuwa na watu wenye "akili" sana nchini (viz. "wazungu wana akili kuliko watu weusi" thread). Ila, huwa wanatubambikia eti tu malaya na tuna majisifu, soma zaidi hapa kupata undani: http://blacfoundation.org/historia_yake.pdf
wasukuma ndo the best
wana roho ya kitajiri,
hawana dharau na mtu,
hawana kujisikia.
wana miili mikubwa.
afya njema.wacheshi....
Hizi ni stereotypes tu kuna mambo ya nature na nurture... Nilikuwa na hisia hizi kuhusu wasukuma hadi nikakutana na baadhi tofauti na maelezo haya. Common dinominator ni kwamba kweli wana miili mikubwa na hii inasababisha akili kuwa ndogo...
Lakini people hili swali huweza kuulizwa kwenye interview ili wapate personal attributes/disposition ya msailiwa.
Sisi huwa wanasema wana akili, misimamo, hawakubali kushindwa na kiburi...Lakini sifa hizi sio predominant kwa wote maana sifa hizi hizi utamkuta mtu wa kabila tofauti anazo. Hata wazungu...
The Boss unamiliki kabila zote hizo? mmmh!wazaramo....mdomo mwingi na uvivu...
wadigo......ngono tu..na ushirikina..
wahaya.....umalaya.....na masifa masifa...
wachaga...wizi,na kutafuta pesa..
wahehe....utiifu,na kazi za ndani....
wasambaa...kulima sana,na ucheshi
wamakonde...ngoma,na kazi za ulinzi
wamasai...wana maadili,na kazi za ulinzi..
wagogo....kuomba omba tu
waha...ubishi na kijifanya wanajua..
wakwere....uvivu na starehe
wanyamwezi.....ujuaji nao kama wazaramo.
wafipa ....uchawi nakulima sana.
wanyakyusa...kulima sana na kujisikia sana.
The Boss unamiliki kabila zote hizo? mmmh!