Jumbe Kondo
Senior Member
- Oct 18, 2011
- 109
- 68
Kumekuwa na tetesi kubwa kama kweli kuna kabila la watu waitwao Waswahili au kwa jina lao la jadi (Wangozi).
Wengi wamekuwa wakipinga. Lakini swali langu hili - Je kunaweza tokea lugha bila ya watu wazawa?
Je, Kiswahili ni mchanganyiko wa malugha ama ni lugha ya jadi ambayo imechukua maneno kutoka pengine?
Nakubaliana na kauli ya pili. Kiswahili na Waswahili walikwepo tangu jadi wakiishi maeneo ya Lamu, Tana ( zote Kenya) na Kismayu ( kusini mwa Somalia) pamoja na wenzao Wamijikenda.
Baadaye wakazagaa pwani yote na kuingia Kwale, Shimoni, Pemba, Unguja, Ngazija, Tanga, Bagamoyo, Kilwa, Mwani ( Msumbiji) n.k.
Ukitaka kujua juu ya watu fulani, waulize mbari zao...na hapo ndio utang'amua kama kweli au rongo.
Hizi ndio mbari za Waswahili kwa wale wanaosema hakuna kabila la Wangozi (Waswahili).
Je wayaona yale majina ya ghuba hapa? Akina Al ndizi bin paipai ibn embe?
Sasa aje fulani kutuambia eti Waswahili na Kiswahili kilianzia Masahariki ya Kati na Bara Asia wakati twajua ni WaMijikenda na makabila mengine ya KiBantu ya mwambao wa Pwani ya Afrika mashariki ndio waliowazaa ndu'zetu hawa.
1. MBARI ZA WAKILINDINI
Mbari ya Mwinyi Nguti wa Mwinyi Mwinzagu
" Mwinyi Humzi
" Mwinyi Kombo wa Dani
" Mwinyi Kae wa Pembe
" Mwinyi Hudumzi
2. MBARI ZA WATANGANA
Mbari ya Mwinyi Muli
" Mwinyi Mjaka
" Mwinyi Umbwi
" Mwinyi Ngwisa
3. MBARI ZA WACHANGAMWE
Mbari ya Mwinyi Kitue
" Mwinyi Mgosi
" Mwinyi Mfaki
" Mwinyi Koba
" Mwinyi Ngovo
4. MBARI ZA WAMVITA
Mbari ya Mwinyi Kutani
" Mwinyi Kae
" Mwinyi Hunziali
5. MBARI ZA WAMALINDI
Mbari ya Banu Shasha
" Banu Mbwana
6. MBARI ZA WAJOMVU (au WAJUNDA)
Mbari ya Mwinyi Faki
" Mwinyi Chande wa Shamaniya
" Mwinyi Usi Muhija
" Mwinyi Uledi wa Ndau
" Mwinyi Jaa wa Mwinyi Nguti
7. MBARI ZA WAMTWAPA
Mbari ya Mwinyi Nyali (au Mbari ya Ng'ombeni)
" Mwinyi Jimve
" Mwinyi Goziadi
" Mwinyi Rakwe
" Banu Muyaka
" Banu Shemapwe
8. MBARI ZA WAKILIFI
Mbari ya Mwinyi Shoka
" Mwinyi Kiwanda
" Mwinyi Mkomati
" Mwinyi Gome
9. MBARI ZA WAPATE
Mbari ya Wa-Pate
" Wa-Amu
" Wa-Kitau
" Wa-Twaka
" Wa-Tikuu
" Wa-Kipungani
" Wa-Barawa
" Wa-Shela
10. MBARI ZA WAGUNYA (au WABAJUNI)
Mbari ya Washaka
" Wa-Uziwa
" Wa-Ungama
" Wa-Ozi
" Wa-Sada
Wengi wamekuwa wakipinga. Lakini swali langu hili - Je kunaweza tokea lugha bila ya watu wazawa?
Je, Kiswahili ni mchanganyiko wa malugha ama ni lugha ya jadi ambayo imechukua maneno kutoka pengine?
Nakubaliana na kauli ya pili. Kiswahili na Waswahili walikwepo tangu jadi wakiishi maeneo ya Lamu, Tana ( zote Kenya) na Kismayu ( kusini mwa Somalia) pamoja na wenzao Wamijikenda.
Baadaye wakazagaa pwani yote na kuingia Kwale, Shimoni, Pemba, Unguja, Ngazija, Tanga, Bagamoyo, Kilwa, Mwani ( Msumbiji) n.k.
Ukitaka kujua juu ya watu fulani, waulize mbari zao...na hapo ndio utang'amua kama kweli au rongo.
Hizi ndio mbari za Waswahili kwa wale wanaosema hakuna kabila la Wangozi (Waswahili).
Je wayaona yale majina ya ghuba hapa? Akina Al ndizi bin paipai ibn embe?
Sasa aje fulani kutuambia eti Waswahili na Kiswahili kilianzia Masahariki ya Kati na Bara Asia wakati twajua ni WaMijikenda na makabila mengine ya KiBantu ya mwambao wa Pwani ya Afrika mashariki ndio waliowazaa ndu'zetu hawa.
1. MBARI ZA WAKILINDINI
Mbari ya Mwinyi Nguti wa Mwinyi Mwinzagu
" Mwinyi Humzi
" Mwinyi Kombo wa Dani
" Mwinyi Kae wa Pembe
" Mwinyi Hudumzi
2. MBARI ZA WATANGANA
Mbari ya Mwinyi Muli
" Mwinyi Mjaka
" Mwinyi Umbwi
" Mwinyi Ngwisa
3. MBARI ZA WACHANGAMWE
Mbari ya Mwinyi Kitue
" Mwinyi Mgosi
" Mwinyi Mfaki
" Mwinyi Koba
" Mwinyi Ngovo
4. MBARI ZA WAMVITA
Mbari ya Mwinyi Kutani
" Mwinyi Kae
" Mwinyi Hunziali
5. MBARI ZA WAMALINDI
Mbari ya Banu Shasha
" Banu Mbwana
6. MBARI ZA WAJOMVU (au WAJUNDA)
Mbari ya Mwinyi Faki
" Mwinyi Chande wa Shamaniya
" Mwinyi Usi Muhija
" Mwinyi Uledi wa Ndau
" Mwinyi Jaa wa Mwinyi Nguti
7. MBARI ZA WAMTWAPA
Mbari ya Mwinyi Nyali (au Mbari ya Ng'ombeni)
" Mwinyi Jimve
" Mwinyi Goziadi
" Mwinyi Rakwe
" Banu Muyaka
" Banu Shemapwe
8. MBARI ZA WAKILIFI
Mbari ya Mwinyi Shoka
" Mwinyi Kiwanda
" Mwinyi Mkomati
" Mwinyi Gome
9. MBARI ZA WAPATE
Mbari ya Wa-Pate
" Wa-Amu
" Wa-Kitau
" Wa-Twaka
" Wa-Tikuu
" Wa-Kipungani
" Wa-Barawa
" Wa-Shela
10. MBARI ZA WAGUNYA (au WABAJUNI)
Mbari ya Washaka
" Wa-Uziwa
" Wa-Ungama
" Wa-Ozi
" Wa-Sada