miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,106
mmmh ngoja niuchezeshe nione kama nitafunga hata kwa penat.....
hao wanawake wamezoea kuchapwa kila siku, sasa kaka zangu wanachapa wapato nafasi na hela ipo......
wanaume wakichaga watamu kwenye huduma ya m-pesa
Hapo umetoka nje ya mada kidogo. Kina dada wanalalamika pale wanapopata nafasi y kufanya mapenzi na kaka zako kwani kaka zako wanakuwa na hisia tofauti, badala ya kufanya mapenzi na kufurahisha demu wao wanafanya mapenzi kujifurahisha wenyewe (minimum 10 minutes) kisha wanavaa, hao bar huku demu analalamika kuwa hajaridhiwsha ndipo anakuj muuza urembo ama mbeba maji kumridhisha demu. Juwa kwamba mwanamke ana sayansi yake ya kuchokonolewa ndiyo maana kaumbwa vile sasa kaka zako kwa kuwa hawajuwi vile ndipo utawakuta wanajiingiza katika mapenzi na kina Ufoo Saro then mwisho wa siku majuto.