kabila gani?

kabila gani?

Inaonekana ni msiri kama jina lako! Na unapenda sana PM eeeenh.

mi ni msiri ndio, kama una io sfa unaweza jiunga nami tuwe kitu kimoja! au sio?.....

pm ndio chumbani mama!!!!.... hapa sebuleni ujue!
 
Good morning, ic breakfast imetulia.

usijali babyto!....... mchana sijui utaweza pata hii hapa?
lunch.jpg
 
Jamani kile kifimbo hakijaenda shule kina respond kwa yeyote anayejua kukiflash vizuri. .
Kwa wanaume wasukuma na wakurya hawana ubunifu kitandani sisemi wabovu ila wapo kawaida they know how to pump ila romance hawajui.
 
Kama una ufahamu mzuri wa JF nadhani unajua vyema sredi kama hii inatakiwa ianzishwe jukwaa gani...

Hapa ni MMU, hizi mambo zenu za kudinyana mara sijui tigo inawasha zina jukwaa lake huko huwa mnaliita sijui jukwaa la wakubwa...

Wewe kama mumeo au bwana wako hajui kukatika nenda gereji ya wachina afungwe motor labda itamsaidia.

Nina uhakika hata ukielezwa kuwa kabila fulani ndio wanaume wao wanajua kukatika haitasaidia kitu, hakuna mtu mwenye uwezo wa kubadili kabila lake.

he wewe, mkuu wa jukwaa hili hajaona km content yake ni ya kuhamishiwa jukwaa la kikubwa,then who the hell are you kuniambia hii topic ni ya mambo ya kikubwa???besides kuna topic kibao zakuwasifia wanawake wa kitanga wahaya wachaga wakizungumziwa humu,kwani wamebadilishwa nini na kuzungumziwa kwao???lastly km hujaipenda potelezea wewe sio mhakiki wa topic hii iwepo hii isiwepo....:frusty::frusty:
 
Hivi hizi sredi huwa zina umuhimu gani? labda mwenzenu miye ni mshamba naomba nijibiwe...
Hazina umuhimu wowote,mimi naona mtu akikosa cha kuandika ndo inakuwa hivi halafu anaona siku ikipta hajapost chochote kama anapungukiwa,anataka ajue wanaume wanajua mapenzi ili imsaidie nini kwani kujua mapenzi ndo kutunza ndoa? mwanaume yake majukumu hata hao wanawake anosema hawajui mapenzi amefanya research na kugundua ni asilimia ngapi ndoa zao hazijadumu? mbona hawa anaowasema wanjua kili kukicha tunasikia wameachika!
 
unajua maana ya ccm lakini?..its Called for Common Mission .... sasa hebu iambie jf, nini dhumuni la chama chenu mpaka sasa!
Hayo ni mawazo yako na wala sipingani nayo ila nachojua mimi kirefu cha ccm ni Chama Cha Mapinduzi.
Nalog off
 
Niombe radhi kwa kusema ukweli? Karibia ya wanawake wengi wanalalamikia hawa jamaa sasa hiyo radhi gani ya kulazimishana tena jamani?

hao wanawake wamezoea kuchapwa kila siku, sasa kaka zangu wanachapa wapato nafasi na hela ipo......
 
Back
Top Bottom