kabila gani?

kabila gani?

Kama una ufahamu mzuri wa JF nadhani unajua vyema sredi kama hii inatakiwa ianzishwe jukwaa gani...

Hapa ni MMU, hizi mambo zenu za kudinyana mara sijui tigo inawasha zina jukwaa lake huko huwa mnaliita sijui jukwaa la wakubwa...

Wewe kama mumeo au bwana wako hajui kukatika nenda gereji ya wachina afungwe motor labda itamsaidia.

Nina uhakika hata ukielezwa kuwa kabila fulani ndio wanaume wao wanajua kukatika haitasaidia kitu, hakuna mtu mwenye uwezo wa kubadili kabila lake.

itasaidia sana hii katika hilo! cc imaney
 
Last edited by a moderator:
Sina uhakika ila wanawake wengi wanalalamika kuwa wanaume wa kichagga hawajuwi kale kamchezo ka 6 X 6.
 
Hivi hizi sredi huwa zina umuhimu gani? labda mwenzenu miye ni mshamba naomba nijibiwe...

Ni sred ya hovyo hovyo kabisa!
Hapo kwenye ubovu kitandani lengo lake hasa baadae ni kututaja wanyakyusa pia!

Umefanya uchunguzi upi kuandika haya?
 
lol! Yamekuwa haya tena.

usiogope babyto!......

goodmorning!
images
 
Basi sawa kama huogopi,halafu uliposema nyoka wa kijani unamaanisha ccm au? kama ni ccm ni kweli kabisa mimi naikubali sana ccm.
Nalog off
unajua maana ya ccm lakini?..its Called for Common Mission .... sasa hebu iambie jf, nini dhumuni la chama chenu mpaka sasa!
 
Back
Top Bottom