Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,591
itabidi niende TangaWadigo wa kike hatari sana shikomoni wote wana wake wa kidigo,sio mjini au kijijini wote wapo vizuri,nitaludi tena siku nyingine.
itabidi niende TangaWadigo wa kike hatari sana shikomoni wote wana wake wa kidigo,sio mjini au kijijini wote wapo vizuri,nitaludi tena siku nyingine.
Nafkri Wasukuma mkuuNimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya kuvutia sana kiasi kwamba unapenda aendelee kuongea tu, swali langu ni KABILA GANI ambalo wewe ndugu msomaji unapenda rafudhi yake?
NopBila shaka nawe unayo ya kisukuma
Tatizo unaongea na waha wa vijijini 😅
Zanzibar hakuna kitu..Wadigo na Wazanzibar
NakulagaWazaramo, wandengereko.
Safi sana
Ukienda Kenya, hata uwe Mbena, Mruguru, mmakonde n.k. ukiongea utasifiwa kuwa unaongea Kiswahili sanifu na lafudhi yenye mvuto.Dah! Kama ulikuwepo nimetoka jana huko kwa wadigo gari imetoka stendi ya zamani pale hadi chongoleani wale wamama wanapiga stori zao mm naenjoy tu ile lafudhi yao taaaaamu hakuna km wadigo na baadhi ya makabila ya pwani si yote, sisi wengine wa bara lafudhi zetu zinakera masikioni hatujui matamshi matokeo yake kila mmoja anamuona mwenzie mshamba!
Dr ana lafudhi ya Kinyiramba cha ndani kabisa...Zanzibar bana hebu msikilize mheshimiwa Raisi.Halafu msikilize dkt Gwajima
Ni mnyiramba kumbe yuleDr ana lafudhi ya Kinyiramba cha ndani kabisa...
Wasukuma wanaongoza kwa kua na lafudhi mbayaSasa waha unawaweka wapi?
KabisaNi mnyiramba kumbe yule
Nireteeni gwajimahWasukuma wana lafudhi nzuri sana na tone nzuri. Tone ya matumaini!
Wasukuma wana lafudhi nzuri sana na tone nzuri. Tone ya matumaini!
Wasukuma Wana Rafidhi nzuri sana.
Wasukuma ni kabila lenye lafudhi mbaya ya kuzungumza Kiswahili.
Hawa wasukuma ni wale tu ambao walizaliwa na kukulia mjini na walianza kuongea Kiswahili kama lugha mama, yaani kama lugha ya kwanza. Hawa unakuta ni wale ambao hawajui kabisa kuongea Kisukuma, au kama wanajua kuongea basi walijifunza ukubwani wakiwa tayari wanajua Kiswahili kama lugha yao ya kwanza. Hata hivyo, hongera zaoHahaha, wasukuma tena!
Mtoa kama kitu hukifahamu ni busara kuuliza maana kwa namna ulivyolitumia hilo neno "lafudhi" ni dhahiri hukua na uhakika juu ya utamkaji au uandishi wake mara "r" mara "l".Nimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya kuvutia sana kiasi kwamba unapenda aendelee kuongea tu, swali langu ni KABILA GANI ambalo wewe ndugu msomaji unapenda rafudhi yake?
So does we..!Nop
Sijaishi huko...sina lafudhi ya kisukuma ...yes nawapenda wanajituma sana ..hawabagui kazi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka kwa hasira hahahaa...