Harald Dad
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 353
- 263
Hivi ni mkoa gani Tanzania unaongea lafudhi nzuri ya lugha ya Kiswahili?
Hiiii ...bhaabhaa yeeee!😂😂😂Geita, Shinyanga na Mara
Wanaongea kama wanauliza na kushangaa kwa wakati mmojaKiswahili asili yake ni Pwani.
Lafudhi nzuri utazipata Tanga kwa wadigo.
Heri hata wenyeji wa Tabora mjini(sijasema Wanyamwezi wote)!Wanaongea kama wanauliza na kushangaa kwa wakati mmoja
Hao ni waharibifu wa Kiswahili.Unguja na Pemba...