Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Nitakuwa nimevaa Helmet haina shida hata nikianguka! Nitakuwa nimekushikiria kiunoni kwa nguvu
ona kama hiii
Mchungaji...hawa ndo washirika wa kanisa lako au??!!!!!
Nitakuwa nimevaa Helmet haina shida hata nikianguka! Nitakuwa nimekushikiria kiunoni kwa nguvu
ona kama hiii
mimi ntakuwa naendesha kwa hiyo mbona umevaa kiajabu hapo nyuma kama mdada hivi.Utanipunguzia spidi kwa uzito nataka niwe kasi hiyo 110km/h hata kwenye kona.
Mchungaji...hawa ndo washirika wa kanisa lako au??!!!!!
hii naipata wikiend tuwapo na muda wa kutosha last wiki sikuwa Arusha kwa hiyo sidhan kama muda wiki hii utaruhusu.Mbona ulikimbia swali lanu kwenye jukwaa ulilonielekeza?sikumaanisha huko uendako,popote alipo,msalimu tu shemeji yangu.....vipi kozi ya lugha inaendeleaje???
Weka 120 Km/hr ili ikitokea ajali iwe imetoka.
Rev umekuja kufanya nini kwenye hili jukwaa?naanza kukushushia heshima kidogokidogo.No sijazoea hiyo muendo mchungaji labda unipe cc 450 kwani ni rahisi kukata kono kuliko kwa cc 250
hiyo 110 ndio nimeizoea tokea nikiwa Korogwe.Have a nice wikiend wasalim woteJaribisha uone raha yake mbona hata 110 za faa!
hiyo 110 ndio nimeizoea tokea nikiwa Korogwe.Have a nice wikiend wasalim wote
toka zako hapaMsalimu shem!
toka zako hapa
hii naipata wikiend tuwapo na muda wa kutosha last wiki sikuwa Arusha kwa hiyo sidhan kama muda wiki hii utaruhusu.Mbona ulikimbia swali lanu kwenye jukwaa ulilonielekeza?
Karibu sana kwa maombi hasa ya usiku!
ni wachache sana tunaweza kushinda majaribu kama haya. hata mkituiga hamuwezi , nashauri mjaribu kuepuka vishawishi.
mwisho wa mahubiri.
tusemeni amen
Mhh..naogopa miee..., halfu siruhusiwi kutoka usku...LOL!
Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.
JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?
Jamaa yangu anapanga kwenye nyumba moja na mwanamke ambaye mmewe anasoma nje. Huyu mwanamwanamke amekuwa akitafuta namna ya kufanya ili apate huduma toka kwa huyu jamaa yangu lakini hakupata approach pia jamaa yangu huwa hagusi wake za watu. Sasa jana jioni, yule mwanamke alimwomba jamaa akamsaidie kupanga furniture chumbani. Yule mdada alikuwa amejifunga kanga ati anataka wakimaliza kupanga vitu aende kuoga. Mambo yakawa hivi: HIKI KITANDA NAOMBA TUSOGEZE HAPA, HILI KABATI LISOGEE NYUMA KIDOGO, NJOO UPANDE HUU TULIVUTE KABATI.... jamaa akawa anafanya kama alivyoambiwa. katika ule ubusy, si kanga ikadondoka, na tazama ndani hapakuwa na chupi wala kivazi chengine!! Jamaa anasema, ghafla mguu wake wa katikati ulinyooka 90° huku ukimvuta kuelekea pahala pasipo mguu maungoni mwa yule dada. Wakafanya hiyo shughuli nyingine kwa fujo sana. BAADA YA KUMALIZA, YULE DADA AKAMWOMBA WARUDISHE KITANDA NA KABATI KAMA VILIVYOKUWA MWANZO.
JE WEWE KAMA MWANAUME UNGEJIZUIAJE HAPA?
DAH mie pia, kwa hiyo sie tulieacha wake zetu bongo jamaa wanachakachua kimtindoKaka ebu nidokeze imetokea wapi hii ishu??? Naona kama inanigusa??? Ni bongodaresalaam, arusha au?????? TAFADHALI SANA NAOMBA UNIJUZI. KAMA NI BONGO NI MAENEO GANI??