Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
ya nini kujitia pressure za bure, utapima pale inaporadhimu au ukiwa na ujauzito, au huna plan ya kuzaa?
wewe lazima kiswahili ulipata f. Radhimu ndo nini?
ya nini kujitia pressure za bure, utapima pale inaporadhimu au ukiwa na ujauzito, au huna plan ya kuzaa?
Baada ya kuonana bila kujikinga kwa miezi 2,yeye akaamua tukaangalie afya zetu.Majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE mimi NEGATIVE.Hakuweza amini na akasema kama nikimuacha atajiua kwani hakuna atakaemtaka tena.Mi nikamwambia siwezi muacha na sitomwambia mtu.Baada ya hapo tukawa tunatumia kinga ila simuoni kama zamani na nataka nimuache kiustaarabu.Je nifanyeje?
Ya nini kujitia pressure za bure, utapima pale inaporadhimu au ukiwa na ujauzito, au huna plan ya kuzaa?
Kuzaa ntazaa Matola ila sio sasa................nilihisi nahitaji kujua kabla sijafika hiyo stage
Kumbe bado upo sokoni! Hongera zako then you should be 20s
Hii sasa ndo pilipili ya shamba yani umesimulia wewe ila nimeogopa mie....
Pole sana. Kwa vipimo vya Tanzania, subiri tena upime baada ya miezi mitatu!
Ukiwa "safi" sikushauri kuendelea na huyo mwenzako! Uwezekano wa kukuambukiza virusi ni mkubwa!
Hivi, umeshafahamu mwenzi wako ana virusi halafu bado mashine inasimama kwake, au hamu inakujia juu yake?
Majanga!
Baada ya kuonana bila kujikinga kwa miezi 2,yeye akaamua tukaangalie afya zetu.Majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE mimi NEGATIVE.Hakuweza amini na akasema kama nikimuacha atajiua kwani hakuna atakaemtaka tena.Mi nikamwambia siwezi muacha na sitomwambia mtu.Baada ya hapo tukawa tunatumia kinga ila simuoni kama zamani na nataka nimuache kiustaarabu.Je nifanyeje?
My early 20's so I have a LONG way to go.....(we una mtoto/watoto)
Yeah then play ur card wisely you will never regret.
I have one boy standard five.
ukute na wew unayo au utapata,usinyoshe vidole..any1 can get HIV
Baada ya kuonana bila kujikinga kwa miezi 2,yeye akaamua tukaangalie afya zetu.Majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE mimi NEGATIVE.Hakuweza amini na akasema kama nikimuacha atajiua kwani hakuna atakaemtaka tena.Mi nikamwambia siwezi muacha na sitomwambia mtu.Baada ya hapo tukawa tunatumia kinga ila simuoni kama zamani na nataka nimuache kiustaarabu.Je nifanyeje?