Ni wewe bana usituzuge Mkuu!
Hapana! Mimi siyo fisi maji!
Ni wewe bana usituzuge Mkuu!
Mkuu, hapo kwenye Bold, nahisi kama umetudanganya hivi!?
Ukiona hivyo ujue njia za panya nyingi,sasa amua tena ukipima unaogopa kuvua vua chupi,nenda kapime peke yako kwanzaa
Lol. Waleee wa nyama kwa nyama. Lazima waogope.
Hii sasa ndo pilipili ya shamba yani umesimulia wewe ila nimeogopa mie....
ukute na wew unayo au utapata,usinyoshe vidole..any1 can get HIV
Ulimuahidi kuto kumuambia mtu.
Kwahiyo jf hakuna watu?
Unaowaomba ushauri sio watu?
Kwanini umeamua kuvujisha siri uloahidi kuitunza?
Tuanze na hapo kwanza
Usiombe iwe kwako, yaani we sikia tu mwenzako yuko hivi. Ile kufikiria tu kwamba uko hivyo unapoteza zaidi ya kg 10 na bado hujapata stress related diarhoea
Unamwacha unaenda wapi ss ili hali ulishamwambukiza indirect? Hapana mm sikubali usimwache atajiua kweli huyo. Lkn kwa nn umwache ili hali kakusaidia kujua hali yako kiafya? MSHUKUKURU SANA HUYO MTU.Baada ya kuonana bila kujikinga kwa miezi 2,yeye akaamua tukaangalie afya zetu.Majibu yakaja ye ndo yuko POSSITIVE mimi NEGATIVE.Hakuweza amini na akasema kama nikimuacha atajiua kwani hakuna atakaemtaka tena.Mi nikamwambia siwezi muacha na sitomwambia mtu.Baada ya hapo tukawa tunatumia kinga ila simuoni kama zamani na nataka nimuache kiustaarabu.Je nifanyeje?