Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,297
- 46,755
Kijana naona unakula ugimbi..Kuna machaguo memgi ila hennesy choice NI best View attachment 2117283
Kijana naona unakula ugimbi..Kuna machaguo memgi ila hennesy choice NI best View attachment 2117283
Zinaua macho piaWakuu, wote tunajua pombe zina athari nyingi ingawa pia zina utamu wake.
Mimi ni mnywaji wa pombe ingawa hazijawahi kunisumbua kwa maana ya kuwa addicted ila nikinywa siku yoyote naenjoy tu. Sijawahi kuwa mpenzi wa konyagi au pombe za aina hiyo.
Juzi juzi hapa nilipiga K Vant, ilinipeleka sana aisee. Na kwa siku kadhaa baada ya hapo nilikuwa nasahau sahau tu vitu ovyo. Niliwahi kusikia hii pombe ina matatizo hayo. Je, ni kweli yanawatokea wengi na ni ya muda mrefu au ni kama sehemu tu ya hangover?
Kwa hiyo hilo jina la kifutio ni kwa sababu ya uwezo wake kufuta kumbukumbu?K-Vant a.k.a KIFUTIO
Brandy iko poa halafu ni tamu. Hiyo sina malalamiko nayo. Ila hiyo label ya Tanzania sijui niifikiriaje.
Ni kweli kvant inakusahaulisha matatizo kabisa, yaani unajiona mkuuubwa




Henny sijawahi kuijaribu. Embu ngoja nitafute kitu cha kusherehekea niipigie hiyo.Kuna machaguo memgi ila hennesy choice NI best View attachment 2117283
Hilo nalo neno.Subiri Madaktari waje.Nje ya mada!
Hivi anayekunywa 'Pombe' kupita kiasi na yule anayekunya 'Soda' kupita kiasi yupi? yuko kwenye Hatari zaidi ya kuua figo kwa haraka.
Kum.AfricaHiyo K maanake ni nini?
Ni kweli inafuta memory nimekaa na dingi mmoja hapa anakunywa k vant nimeshangaa anamfokea Kaunta kuwa amechukua simu yake wakati kaishika mkononi yeye mwenyewe.Wakuu, wote tunajua pombe zina athari nyingi ingawa pia zina utamu wake.
Mimi ni mnywaji wa pombe ingawa hazijawahi kunisumbua kwa maana ya kuwa addicted ila nikinywa siku yoyote naenjoy tu. Sijawahi kuwa mpenzi wa konyagi au pombe za aina hiyo.
Juzi juzi hapa nilipiga K Vant, ilinipeleka sana aisee. Na kwa siku kadhaa baada ya hapo nilikuwa nasahau sahau tu vitu ovyo. Niliwahi kusikia hii pombe ina matatizo hayo. Je, ni kweli yanawatokea wengi na ni ya muda mrefu au ni kama sehemu tu ya hangover?
Dah ndio maana corona imepata wakati mgumu hapa. Watu tunakunywa sumu kama burudani.Mkuu, ulilamba K-Vant taputapu(fake!),
K-Vant original, aaah! burudaaaani hadi raha! Na msimu huu wa baridi ndio usiseme!
Binfsi ni mpenzi wa Konygi na ViceroyKuna machaguo memgi ila hennesy choice NI best View attachment 2117283