Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
Tunakaribia MakambakoHabari ya safari...vipi mmefika wapi na majinja yenu
Tunakaribia MakambakoHabari ya safari...vipi mmefika wapi na majinja yenu
mkuu hivi unajua maana ya kamanda kwa kiingereza ni comander. kwa hiyo huko unapoongelea hakuna comanding officers?JWTZ hawana jina/cheo cha kamanda. Hicho kipo kwa akina Sirro
kuna wakoromije humu ni wabinafsi sija wahi ona....Mods unganishen huu uz kwenye uz wangu
Huyu jamaa wa Chad siyo wa mchezo mchezo huyu
Mods unganishen huu uz kwenye uz wangu
Uko sahihi tujitahidi kulinda nchi yetu kwa tekinolojia mpyadunia inabadilika hivyo ni Vyema vyombo vya ulinzi navyo vikajipanga kuendana na kasi ya mabadiliko.
Yeah, me nashangaa wanafanya mazoezi ya mapanga wakati wenzao kila siku ni majaribio ya nuclear.Daah! video ndefu sana, dk 20 kwa huu usawa wa uncle JPM ni kutiana umasikini.
Itapendeza kama JWTZ wakiwa wanafanya mazoezi zaidi na majeshi ya Marekani, Israel, Ujerumani, Ufaransa, Uingereza, Italia, Urusi, na China.
Nchi hizo ndo wanaojua kuwashugulikia MAGAIDI vilivyo





Walikuwa hawaruhusu kupiga picha mkuuWeka picha
Nakushukuru kwa saluteLeo ilikuwa ni siku ya maajabu aisee mambo tuliyozoea kuyaona kwenye video leo tumeyashudia live bila chenga
Makomando walikuwa wajifanya mazoez ya kushuka kwenye choper iliyoko juu mawingun kwa kamba ebhana ee acha tu waitwe wajeda hao watu
Jamaa wanashuka vichwa vinatizama chin lakin wakikaribia chin wana jigeuza kiaina na kutua kikomando kwa makelele ya kikomando
Choper iliganda juu hewan wakaanza kushuka mmoja mmoja ilikuwa ni noma sana asikwambie mtu.
Mambo ya kwenye video nimeyashudia live
Hongera mabeyo na vijana wako
Palikuwa haparusiwi kupiga picha
LONDON BABY