Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,944
Komando jwUnamaanisha komando Jide ama Hamza Kalala?
Komando jwUnamaanisha komando Jide ama Hamza Kalala?
Komando jwHawa makomando wa Bongo flavor wamenunua lini chopper?
Hao hao mkuu
JW- Jehovah WitnessKomando jw
Amin mkuu jamaa walikuwa hawaruhusu kupiga pichaMkuu bila picha au kavideo tutakuamini vp
Pamoja sanaNakushukuru kwa salute
Wapi huko ???Leo ilikuwa ni siku ya maajabu aisee mambo tuliyozoea kuyaona kwenye video leo tumeyashudia live bila chenga
Makomando walikuwa wajifanya mazoez ya kushuka kwenye choper iliyoko juu mawingun kwa kamba ebhana ee acha tu waitwe wajeda hao watu
Jamaa wanashuka vichwa vinatizama chin lakin wakikaribia chin wana jigeuza kiaina na kutua kikomando kwa makelele ya kikomando
Choper iliganda juu hewan wakaanza kushuka mmoja mmoja ilikuwa ni noma sana asikwambie mtu.
Mambo ya kwenye video nimeyashudia live
Hongera mabeyo na vijana wako
Palikuwa haparusiwi kupiga picha
LONDON BABY
JWTZJW- Jehovah Witness
Nimecheka sana eti Jehovah's witnessJW- Jehovah Witness
Wapi huko mkuu?Komando jw
LugaroWapi huko ???
Hahahaaa mkuu mbona Leo uko mpole sanaWapi huko mkuu?
Kwanini mkuuShibe ni mbaya sana