hah
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 351
- 661
Achana na upelelezi Tafuta gepu kula maishaUmesoma Uzi wangu. Mimi ni mpelelezi tu kwenye hili sakata. Ila mpaka Sasa ninaishahidi mwingi wa huyo Generali Mwamwega.
Achana na upelelezi Tafuta gepu kula maishaUmesoma Uzi wangu. Mimi ni mpelelezi tu kwenye hili sakata. Ila mpaka Sasa ninaishahidi mwingi wa huyo Generali Mwamwega.
Anatumia simu. Hiyo simu yake anaweza kutwist sauti ya Waziri Mkuu, Rais Mwinyi na watu wengine. Jamaa ni shida. Na washindwa kumkamata kila mtu anamgwaya.
Kweli kabisaKwenye hili makampuni ya simu na tcra hawakwepi. Walichukua alama zetu za vidole kwa ahadi kwamba hatuta tapeliwa tena! Lakini cha kushangaza kuna malalamiko kibao siku hizi ya issue za utapeli. Sikui hawa akina TCRA na mitandao ya simu wanafanya nini.
Ni kweli hata kwenye hii kesi nimeona, polisi wanamlinda kwa nguvu zote.Kwenye kesi za matapeli polisi hakuna wanachofanya zaidi ya kula rushwa pande zote mbili. Utaambiwa leta laki mbili ya kum 'track' alafu wakimpata hafiki kituoni, anawatuliza kwa hela. Baada ya hapo wanaanza kukuzungusha.
HahaaaaaNimesikia kuwa huyo generali amewaambia polisi wakimkamata itaipindua Nchi na kuifuta polisi.kwa hiyo mwacheni tu huyo field marshall maana hakuna wa kumkamata
Watamtumia jamaa huo ushahidi na watafichua uhalisia wako. Duniani hutakiwi kuwaamini sana watu.Jana nimeweka ushahidi wote kwenye fichua maovu, JF wameupiga Chini. Imenifanya nijiulize maswali mengi.
Atachukuliwaje hatua wakati wewe mwenyewe umekiri hayupo huko Zanzibar wala kwenye database za JWTZHabari, naomba nitoe taarifa kwa JWTZ ya kwamba Kuna mtu anajiita Generali Charles Mwamwega na kudanganya watu yeye ni makubwa jeshini na anafanya kazi kwenye ofisi ya Rais wa Zanzibar Ikulu. Ukienda pale ikulu Zanzibar hayupo mtu Kama huyo na ukienda kwenye data base ya JWTZ Hilo jina halipo kabisa, ukiachana na cheo Cha uongo Cha Generali ambacho ni kimoja tu kwa CDF.
Mpaka Sasa ameshatapeli watu wengi lakini hachukuliwi hatua yeyote. Maana Mimi najua Generali wa JWTZ ni mmoja inakuaje wawepo majenerali wawili?. Pia huyu Generali anatumia jina la Waziri Mkuu kuibia watu Magari pale bandarini. JWTZ ingilieni kati raia wanalizwa, wasaidieni.
Sio kwa kumuogopa huko aiseeh. Yani polisi wanamgwaya sijajua kwaniniNimesikia kuwa huyo generali amewaambia polisi wakimkamata itaipindua Nchi na kuifuta polisi.kwa hiyo mwacheni tu huyo field marshall maana hakuna wa kumkamata