conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,119
- 767
wana jamii wenzangu inasikitisha sana kuona hadi sasa JWTZ hawajatangaza nafas za magradutes hadi mda huu wakt vikos vyote tyar, ukiuliza utaskia wanachkua JKT, je jeshi halitaj wasomi au?
Kuna jamaa alikuwa jeshi ....ameacha! Anasema kama una elimu yako ni heri ujiajiri au ufanye kazi nyinginr yeyote lakini siyo jeshi wala polisi.
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
Hahahaa hili neno graduates linatia uvivj vijana . Kumaliza chuo si chochoteSasa we endelea kusubiri watakuja kukuomba kwa wazazi wako ili ujiunge na Jeshi msomi watu
Wenye elimu ndo waliomtoa Mugabe bila resistance yoyotewana jamii wenzangu inasikitisha sana kuona hadi sasa JWTZ hawajatangaza nafas za magradutes hadi mda huu wakt vikos vyote tyar, ukiuliza utaskia wanachkua JKT, je jeshi halitaj wasomi au?
kwa huu uandishi jeshini huendi mkuu, tafuta saluni ya kike uanze kuwasuka makalikiti wadada.tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv
Hao graduates wapo Wa kutosha Jkt wanasota....we unataka mteremko tuu Wa moja Kwa moja uingie tpdf hiyo HAIPOwana jamii wenzangu inasikitisha sana kuona hadi sasa JWTZ hawajatangaza nafas za magradutes hadi mda huu wakt vikos vyote tyar, ukiuliza utaskia wanachkua JKT, je jeshi halitaj wasomi au?
Lakini Co wa Bulombora kipindi kile tupo mujibu wa sheria 2013 OP miaka 50 ya JKT alisema jkt hata ukipita mujibu wa sheria ukishapata tu ile namba ya jeshi na ukaapa, unahesabika jkt ushapita na hauwezi tena kurudia. Ndio maana mwaka huu tangazo la kujiunga jkt limesisitiza usiwe umepita op zilizopita. Sasa vijana hawa mujibu wa sheria ndio wanahitaji hilo gap la kuingia jeshin kupitia special recruitmentHuwezi kumpangia mtu utaratibu.
Unapenda sana mteremko eeeh, nenda JKT ukalime kwanza ndipo usubiri usaili kwa graduate.
Siku hizi jeshi linachukua six na kisha kuwapeleka wakasomee fani wanazotaka wao na hawa ndio huwa maafisa wa jeshi.
Ulibugi pale ulipokariri mambo ya miaka ya 90 huko.
Jeshi halina kukariri.
Halafu kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha kabisa kuwa unadhani wanaokwenda JKT wote au wengi ni shuleless.
No!
Lakini Co wa Bulombora kipindi kile tupo mujibu wa sheria 2013 OP miaka 50 ya JKT alisema jkt hata ukipita mujibu wa sheria ukishapata tu ile namba ya jeshi na ukaapa, unahesabika jkt ushapita na hauwezi tena kurudia. Ndio maana mwaka huu tangazo la kujiunga jkt limesisitiza usiwe umepita op zilizopita. Sasa vijana hawa mujibu wa sheria ndio wanahitaji hilo gap la kuingia jeshin kupitia special recruitment
Samahani na wakija kuchukua huko kambini wanatumia vigezo gan au wanaangalia mda uliokaa kama service manHao graduates wapo Wa kutosha Jkt wanasota....we unataka mteremko tuu Wa moja Kwa moja uingie tpdf hiyo HAIPO
Daa september sio kweli labda october nakuendelea maana kuapa penyew tuliapa kama tar 21 hivi septemberUsaili kwa waliopitia JKT operesheni miaka 50 ya jkt(mujibu wa sheria na kujitolea) ulishafanyika Septemba 2013 kwa mara ya kwanza na watu wakaenda TPDF na wengine waliendelea kufanya usaili mpaka 2015 .
Sasa hapa form six wengi walijisahau wakaingia chuo kikuu na vyuo vya kati wakajipa matumaini kuwa wataingia jeshini wakigraduate ili wakawe maafisa wapigiwe salute na kwa bahati mbaya leo hawajui hata pakuanzia na saluti wanaziona kwenye televisheni tu.
Usijali rafiki mlango mmoja ukifungwa usiulazimishe kuuvunja just relax and look beside, there is another gloriosy door.