JWTZ kwanini hawatangazi ajira kwa graduates?

kaka jeshini kuanzia asiyemaliza msingi mpaka profesa wote wana umuhimu.pia ufahamu kuna shahada jeshini zachukua hata miaka kumi,iyo mitatu si astashahada au stashahada flani jeshini(si vema kuitaja hapa) au kulikua na kozi DIT YA FTC(sijui iyo ngazi bado ipo)na yuko vema kuliko shahada
 
jeshini hakuna shida ya wasomi ni muda na mahitaji tu kutokana na target.kwa kozi wanazotaka wanasomesha watu wao tena inchi na vyuo tofauti kwa kozi moja na kila fani ipo mpaka vikosi vya burudani
 
fungua moyo jeshin,ucfikire ajira kwanz na degree yako
jesh hili limeongozwa nà watu walioshia daras la 7; mwlm jk aliwaogop xn wasom na watu toka nje ya mkoa wa mara,ndo maana wakuu weng wametokea huko
 
tehtehteh mkuu iyo akili
ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3,
ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate
ukizingatia wkt wa wasomi xaiv

samahani mkubwa, hivi simu yako haina s, mnaniboaga sana mkitumia hiyo alama yenu.
 
Jkt kwanza tujue ukakamavu,uzalendo,utii na nidhamu kwa ujumla!tena ya kujitolea sio kwa mujibu wa sheria

mbona hata hao jkt wamekaa kimya,hawatangazi nafasi kwa graduates!!?,watangaze bhana namimi niache chaki niende nikabebe silaha kuilinda nchi yangu!!
 
mbona hata hao jkt wamekaa kimya,hawatangazi nafasi kwa graduates!!?,watangaze bhana namimi niache chaki niende nikabebe silaha kuilinda nchi yangu!!

Acha uchu wa kazi wewd mbona hukuenda jeshini mapema saiz umeajiriwa kama mwalimu ndo unataka uende jeshini hahahahah mkuu acha tamaa hata hapo unalitumikia taifa tu mbona
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Wasomi hao hao ikitokea vita au misheni ya kivita wana kataa kwenda Au wanakimbia. Sasa katika kutibu Hilo wale graduate wote wanapitia jkt kwanza wanalima kwa jembe la mkono kwanza mpaka wanachanganyikiwa akili then Ndiyo baadae wanafanya usaili wa jwtz.sasa wewe subiria mteremko wa moja Kwa moja kama utapata.wanao jua wanapitia jkt huko huko baadae ndiyo wanakuja kuajiriwa na jwtz.wewe endelea kusubiri tu mpaka yesu atakapo rudi.

Na wakalime.hadi wachakae wanapenda pesa tu hawa na.kijifanya wamesoma ss jeshi kuebusha hilo hakuna.nafasi ya.moja kwa moja hadi utumike kwanza imeonekana wengi wao waliokuwa wakichukuliwa mojakwa moja waoga wa mambo ya kivita mfano kwenda congo kipindi kile wamevua combati hao wasomi kibao wa moja kwa moja ss inabid ukatumike kwanza sawaaaaaaaaaaa
 
aiseee babayangu wenzako wapo jeshini wanakaribia kutoboa mkataba yao na digree zao hawajapata kazi we unakazi hutaki kazi acha kazi uone kazi kupata kazi,
 
Eti wakat wa asomi nan ka.kwambia.so ambao hawakubaatika kupata elimu wasifanye.maisha subir yesu aje
 
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv

Yaaani huu ujinga ndo tupelekewe jeshini? Hiyo discipline italipa kweli!?
 
Ukipata ajira uta-compensate gap la mafanikio la miaka 8 kwa miaka 3 tu. Thamini elimu yako.

Suala la ajira na lenyewe limeshakuwa janga la kitaifa!

Huwa inawauma sana niliosoma nao o-level kwani nilifight ajira na baada ya kupata kazi, kisha nikarudi shule na kumaliza mwaka mmoja na wao shahada yangu ya kwanza then mshahara na marupurupu vikaongezeka. Wananipiga mizinga mpaka balaaa kwa sasa!

Maisha hayana formula!
 
wana jamii wenzangu inasikitisha sana kuona hadi sasa jwtz hawajatangaza nafas za magradutes hadi mda huu wakt vikos vyote tyar, ukiuliza utaskia wanachkua jkt, je jeshi halitaj wasomi au?

jeshini kuna graduates wengi sana. Vijana wanaojiunga kama form 4 na f6 wanajiendeleza kwa kasi. Na magraduates wengi wanaingilia jkt
 
jeshini kuna graduates wengi sana. Vijana wanaojiunga kama form 4 na f6 wanajiendeleza kwa kasi. Na magraduates wengi wanaingilia jkt

Mwache ajione kama msomi yupo peke yake afu aendelee kusugua bench
 
tehtehteh mkuu iyo akili ikitoka ndo kutakua na kax apo, istoshe why ulime wkt umesota miaka 3, ktk ktafta elimu, xx ni wakt wa kupewa special chance kw graduate ukizingatia wkt wa wasomi xaiv

jeshi ni fani kama nyingine.no short cuts you must start from the scratch.
 
Back
Top Bottom