Elections 2010 JWTZ kurusha ndege za kivita katika anga la Dar...

Kwani ni lazima warushe ndege Dar wanaweza kufanya mazoezi sehemu nyingine zisizokuwa na msongamano ili kuepuka madhara yanayoweza kutokea iwapo ndege za mwaka 47 zitadondoka.

Huko porini nani atawaona? Unataka wafe pekee yao? Malego yatakuwa hayafikiwa, si unaju tena mambo ya vitisho kwa akina mama na wenye roho ndogo.
 
Mazoezi ya kila mara ni muhimu kuogeza ujasiri wa kazi yenyewe,lakini yaendane na kipato cha Taifa.
 
Pamoja na yote, msisahau majirani zetu hapo kenya wana maonyesho makubwa ya kijeshi ambayo hayajawahi kuonyeshwa tangu nchi hiyo ipate uhuru.... wanasema ni ya kuzindua katiba mpya ...but its a big show!!!

TANZANIA NAYO HAS TO SHOW SOMETHING!!!!! Kuonyesha kuwa ...We are not Intimidated...!!!
 
Ndege zenyewe hizi hapa....

Ye-231 (Flogger-A) was the prototype built for testing, and it lacked the sawtooth leading edge that later appeared on all MiG-23/-27 models. This experimental model was the common basic design that both the MiG-23/-27 and Sukhoi Su-24 were based on, but the Su-24 experienced much greater modification.

MiG-23 (Flogger-A) was the pre-production model that lacked the hardpoints on later production versions, but the sawtooth leading edge appeared on this model, and it was also armed with guns. This model marked the divergence of the MiG-23/-27 and Su-24 from their common ancestor.

MiG-23S (Flogger-A) was the initial production variant. Only around 60 were built between 1969 and 1970. These aircraft were used for both flight and operational testing. The MiG-23S had an improved R-27F2-300 turbojet engine with a maximum thrust of 9980 kp. As the Sapfir-23 radar was delayed, the aircraft were installed with the S-21 weapons control system with the RP-22SM radar—basically the same weapons system as in the MiG-21MF/bis. A twin-barreled 23 mm GSh-23L gun with 200 rounds of ammunition was fitted under the fuselage. This variant suffered from various teething problems and was never fielded as an operational fighter.
 
Yaani thread zangu ni za kijinga sana, hazina kichwa wala miguu.
Jaribu kutuletea vitu vya kueleweka badala ya kujaza servers za JF kwa matakataka yako.
Sokapo apa aseee
 
Japo mimi naona kuwa bado ni mpango wa Serikali ya kumfanya Rais wetu Slaa asitoke na usafiri wake, Lakini bado hajapwaya. Mazoezi hayo yameanza lini. au ndo yale yale ya intergrated means kushinda kwa kishindo!

Mwisho wao u karibu hata wafanyaje, maana uelewa wa watu unazidi kuongezeka.
:welcome:
"YOU CAN FOOL SOME PEOPLE ALL THE TIME BUT NOT ALL PEOPLE ALL THE TIME"
 
Taaria bila kutoa source ni upuuzi! Jangwani ndio sehemu ya kufanyia mazoezi ya anga? Na huko Msata je? Mimi tayari kura yangu ni ya Dr. Slaa kuwe na zoezi kusewe na zoezi. Waangalie yasije yakatokea yale ya Segera!!!
 
Baada ya kupata taarifa kuwa siku ya Jmosi kutakuwa na mazoezi ya anga
ya JWTZ Dr SLaa alia na serikali mana anaona wananchi watakaokuwa mkutanoni
wanaweza kuogopa mazoezi ya JWZT wakiwa wanafanyia mazoezi katika anga la jangwani
Is this another Malaria Sugu or the same person in different names?
 
Taaria bila kutoa source ni upuuzi! Jangwani ndio sehemu ya kufanyia mazoezi ya anga? Na huko Msata je? Mimi tayari kura yangu ni ya Dr. Slaa kuwe na zoezi kusewe na zoezi. Waangalie yasije yakatokea yale ya Segera!!!

Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom