Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Wakazi wa Dar wametakiwa kutokuwa na hofu pale ndege za kivita zitapokuwa zikipasua anga la Dar kuanzia leo 25.08.2010 hadi 01.09.2010 kwa ajili ya mazoezi ya kujiandaa kuadhimisha siku ya JWTZ mnamo 01.09.2010 sherehe zitakazofanyika katika kambi ya Navy Kigamboni...
Mara ya mwisho kufanya zoezi hili ilikuwa mwaka 2006 katika kuadhimisha miaka 45 ya uhuru wa Tanganyika...
Ninachoona...??
Huu ni mwaka wa uchaguzi wa inawezekana wanataka kuwatisha wengi Wazee,kina Mama na baadhi ya wenye roho ndogo kuwa jeshi lipo na lipo chini ya Amiri jeshi mkuu Mkulu JK
TAFAKARI!...
Mara ya mwisho kufanya zoezi hili ilikuwa mwaka 2006 katika kuadhimisha miaka 45 ya uhuru wa Tanganyika...
Ninachoona...??
Huu ni mwaka wa uchaguzi wa inawezekana wanataka kuwatisha wengi Wazee,kina Mama na baadhi ya wenye roho ndogo kuwa jeshi lipo na lipo chini ya Amiri jeshi mkuu Mkulu JK
TAFAKARI!...