Du hongera Mkuu kutujiza.
binafsi ni mtuaji wa barabara hiyo. Arusha hili ni tatizo kubwa sana hakika viongozi hwa wa magamba sijui wanafikiria kwa kutumia nini. Wana - Jf Hasara za tunazopata watu wa Arusha mjini
1: Vyombo vya usafiri kama toyo na hata magari madogo si anasa ila kwa kweli vipuri vimepanda na hizi barbara za Arusha zinatufanya hela yoooote iiishie kwenye matengenezo na hata kushindwa kuchangia shughuli za maendeleo
2: Foleni ni kubwa hamna mfano, Njiro Clock tower ndio usiseme, Sakina mianzini balaa, barabra zooote toka main road ni mahandaki hazifai. Hii ni aibu kubwa kwa manispaa kushindwa kutengeneza hata km 5 kila barabara toka mainlanda hata kiwango cha changarawe.
Kila nikiona manispaa napa kichefuchefu. Wanatudanganya na lami za wachina za eneo la makao mapya mipango ya 2009 inatekelezwa 2012 aibu aibu tena aibu