JWTZ Arusha wang'oa daraja lao!!!!

Mzee wa Rula

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
8,171
3,346
Jeshi la Wananchi Arusha limeng'oa daraja lake waliloliweka katika njia ya Fire kuelekea Njiro baada ya kuitaka halmashauri kujenga daraja hilo kwa muda mrefu bila mafanikio.

Mara baada ya kuipata habari hii nililazimika kuzama eneo la tukio na kuona ni kweli daraja hilo limeondolewa na juhudi za kujenga daraja hilo zikiendelea kwa kasi.

Nilipojaribu kuwauliza wafanyazi wachache waliokuwepo wakiendelea na kazi walisema ni kweli JWTZ wameondoa daraja lao lakini ni kwa sababu eti njia hiyo ipo kwenye mchakato wa kuwekewa lami na daraja lile lisingefaa. Nilipowauliza mbona hata zile njia ambazo zimeanza kujengwa hazijamaliziwa inakuwaje wajeda hao walichuke apema hawakuwa na majibu zaidi ya kusisitiza majibu yao yaliyoyatoa.
 
Je hao JWTZ si sehamu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?, je kama leo wang'oa daraja, kesho watafanya nini? Napata maswali mengi kuliko majibu.... MUNGU IBARIKI TANZANIA!
 
Kung'olrwa kwa daraja hili kunaleta foleni sana kwa watu wanaotomia njia ya clock tower to impala,. Tafadhali wajeda rudisheni daraja hili
 
Je hao JWTZ si sehamu ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?, je kama leo wang'oa daraja, kesho watafanya nini? Napata maswali mengi kuliko majibu.... MUNGU IBARIKI TANZANIA!

msikurupuke kuweka siasa ktk kila jambo,,,,,,,ni haki jwtz kutoa daraja,,,,,waliweka kwa ajili ya dharura na uokozi,,,,,ni kazi ya jeshi kujengea madaraja.......//////tatizo wanapoweka madaraja katika hali ya kuokoa na dharura wahusika hubweteka hawajengi tena madaraja,,,sasa wayaache ikitokea dharura kwingine waache watu wafe kwa uswahili wa wengine......nyambaf,,,,,,,viva jwtz jipambanue wewe ni umma wa wa tz,:spy:
 
Serikali ni Janga kwa mlalahoi, Jeshi pia ni janga kwa Mlalahoi, sijui mlalahoi kama atatoka mzima hapa. Hili ndio Janga JWTZ linaongozwa kienyejienyeji kama kapuni ya baba riz1
 
Mnashindwa kueleza vizuri daraja hilo ni lipi! Mi najua kuna daraja kati ya kota za polisi ukitokea fire, na nyumba ya meneja wa Tanesco wa Mkoa. Naamini mnaongelea hilo. kama n divyo, basi ni jambo lenye athari kubwa sana kwa wanaArusha. Njia hiyo imekuwa ikitumika sana kukwepa jam ya eneo kati ya kona ya Esso na Impala had Njiro. Pole sana Preta , maana LIVE umeathirika.
 
Last edited by a moderator:
Hii haijakaa sawa sawa. Ina maana jeshi linafanya kazi bila utaratibu? Maana kuliweka pale,kulikuwa na sababu. Kuliondoa lazima kuwe na sababu
 
Mnashindwa kueleza vizuri daraja hilo ni lipi! Mi najua kuna daraja kati ya kota za polisi ukitokea fire, na nyumba ya meneja wa Tanesco wa Mkoa. Naamini mnaongelea hilo. kama n divyo, basi ni jambo lenye athari kubwa sana kwa wanaArusha. Njia hiyo imekuwa ikitumika sana kukwepa jam ya eneo kati ya kona ya Esso na Impala had Njiro. Pole sana Preta , maana LIVE umeathirika.

Dah.....hii habari imenishtua sana......ni kweli nilipita pale nikajua ni mambo ya mafurko na nini.....kumbe wajeda wamemind.....ndio maana ile mida mida yetu maeneo ya clock tower magari yanajazana sana.......natumaini Lily Flower umepata jibu la mkasa wako wa juzi mpaka ukaamua kuingia atm stanbic......teh teh teh......wajeda hoiyeeeeeeee.........

 
Last edited by a moderator:
Serikali ni Janga kwa mlalahoi, Jeshi pia ni janga kwa Mlalahoi, sijui mlalahoi kama atatoka mzima hapa. Hili ndio Janga JWTZ linaongozwa kienyejienyeji kama kapuni ya baba riz1

Ndugu; haya madaraja ya Wajeda hukaa kambini kwao mahsusi kwa ajili ya dharura tu na ndio maana baada ya muda flani kupita huwataka wahusika serikalini kujenga madaraja yao ya kudumu ili wao wayarudshe yao stoo kwa matumizi pale yanapo hitajika tena kwa dharura
 
Dah.....hii habari imenishtua sana......ni kweli nilipita pale nikajua ni mambo ya mafurko na nini.....kumbe wajeda wamemind.....ndio maana ile mida mida yetu maeneo ya clock tower magari yanajazana sana.......natumaini Lily Flower umepata jibu la mkasa wako wa juzi mpaka ukaamua kuingia atm stanbic......teh teh teh......wajeda hoiyeeeeeeee.........


Wajeda hoyeeeee, hao ndiyo wenye nchi bana. Saizi Arusha ni full mtafutano folleni!!!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu; haya madaraja ya Wajeda hukaa kambini kwao mahsusi kwa ajili ya dharura tu na ndio maana baada ya muda flani kupita huwataka wahusika serikalini kujenga madaraja yao ya kudumu ili wao wayarudshe yao stoo kwa matumizi pale yanapo hitajika tena kwa dharura

Nakubaliana nawe kabisa, picha nitawaleka baadae kidogo.
 
Haya tuzidi kuwakumbusha tu wakatoe la pale kawe chini old bagamoyo road
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom