marktindo04
Member
- Dec 16, 2019
- 23
- 74
Mamb vipi wana JF,
Aisee siku ya Jtatu nilitakiwa niwai kuja Arusha kwa ajili ya majukumu muhimu sana, kwa bahati mbaya nilikosa train ya saa nane ya kuja Arusha so ikanibidi nitafte namna ya kuondoka jioni hyo hyo.
So kuna jamaa ang alikua anafaham hzo coaster za kuja arusha zinachukua abiria pale ubungo oilcom, so nliwai na kukata seat yang mida ya saa kumi jioni na gari ilifika pale mida ya saa mbili usiku ndio tukaanza safari yetu.
Nilikua na uoga mwanzoni kutokana na watu kusema kuwa hizi gari huwa zinakimbia sana , hivo safar ilianza mdgo mdgo hadi tulipo iacha bunju dreva akaanza moto wake.
Aisee gear alizokuwa anapiga so za kitoto na overtaking ilikua kawaida sana ,kuna mda dreva aliendesha speed ambayo sijawai ishuhudia maishani katika safari zangu. Moyo ulipiga mapigo 100 kwa sekunde hadi ukaacha wenyewe ilikua ni hatari sana, kiufupi siku sinzia mpaka nafika Arusha na tulitumia almost masaa 7 kufika Arusha.
USHAURI
Kupanda hizo gari ni risk kama ku trade forex na ada ya chuo ,hivyo tuwe makini ndgu zangu
Aisee siku ya Jtatu nilitakiwa niwai kuja Arusha kwa ajili ya majukumu muhimu sana, kwa bahati mbaya nilikosa train ya saa nane ya kuja Arusha so ikanibidi nitafte namna ya kuondoka jioni hyo hyo.
So kuna jamaa ang alikua anafaham hzo coaster za kuja arusha zinachukua abiria pale ubungo oilcom, so nliwai na kukata seat yang mida ya saa kumi jioni na gari ilifika pale mida ya saa mbili usiku ndio tukaanza safari yetu.
Nilikua na uoga mwanzoni kutokana na watu kusema kuwa hizi gari huwa zinakimbia sana , hivo safar ilianza mdgo mdgo hadi tulipo iacha bunju dreva akaanza moto wake.
Aisee gear alizokuwa anapiga so za kitoto na overtaking ilikua kawaida sana ,kuna mda dreva aliendesha speed ambayo sijawai ishuhudia maishani katika safari zangu. Moyo ulipiga mapigo 100 kwa sekunde hadi ukaacha wenyewe ilikua ni hatari sana, kiufupi siku sinzia mpaka nafika Arusha na tulitumia almost masaa 7 kufika Arusha.
USHAURI
Kupanda hizo gari ni risk kama ku trade forex na ada ya chuo ,hivyo tuwe makini ndgu zangu