Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,226
Naomba kujua Je Ni ratiba maalum yenye kibali cha serikali? Kwa Moshi/Arusha nazipata wapi? Dar najua Ni kimara kibo jioni..
Zinaingia Dar Kwenye saa kumi hivi usiku, wengi hua tunashukia Ubungo mataa..
Mimi hua napandia njiani hivyo nashindwa kuelewa jee watu waliomo ndani wanafahamiana wameikodisha? Au ina sanya kama gari nyingine?
Nimekua nikisafiri nazo sana na zimekua na msaada sana kwangu, ningependa kujua mbili tatu....
Zinaingia Dar Kwenye saa kumi hivi usiku, wengi hua tunashukia Ubungo mataa..
Mimi hua napandia njiani hivyo nashindwa kuelewa jee watu waliomo ndani wanafahamiana wameikodisha? Au ina sanya kama gari nyingine?
Nimekua nikisafiri nazo sana na zimekua na msaada sana kwangu, ningependa kujua mbili tatu....