Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Dah nimekuwa frustrated sana,furaha yangu ya birthday imeisha officially leo simu yangu kipenzi sony xperia imeibiwa na vijiwezi uchwara,wameniibia dirishani usiku,dah am out of words ila wamenivuruga kweli,masikini wameniachia headphone na charger tu.