Just in: UDSM wafukuzwa

Just in: UDSM wafukuzwa

Enzi hizo Maxence Melo anachangia hoja mara kwa mara tena kwa ID yake halisi. Sasa hivi akichangia hivi watammaliza wakoloni wa ndani.
Enzi hizo Kitila Mkumbo hajaanza kula meza moja na wakoloni wa ndani, hajaanza kuwa mtu wa kusifia ovyo kiwango cha kushusha uwezo wake wa kufikiri na kujenga hoja au kutweza utu wake.
 
wOrM....labda tulikuwa wote..yaliyotusibu 2000! Ila mimi naamini FREE MONEY IS NEVER ENOUGH..Wengi tumesoma mlimani na we have first hand experience. ..sasa hivi wanapewa 3600 kwa siku....Tatizo hili ni la wanafunzi na serikali. As mwanakijiji said..majibu marahisi kwa maswali magumu. Kwanza wanafunzi bado wana mentality na elimu ya bure hatuwezi kuwalaumu ndivyo Nyerere alivyotukuza kwa kuamini kwamba tunaweza kuwa na sera za kuwakomboa wote! (JK na EL mlisoma bure na sisi tusome bure) wanasahau kwamba enzi hizo wanafunzi walikuwa less than 1000! waliokuwa wanaitegemea serikali. Leo Vyuo vyote vya elimu ya juu kuanzia UD mpaka Tengeru, Uyole, Nyegezi, Kairuki et al, vinaitegemea serikali iwalipie 100% (mkopo).

Sasa jiulize, hiyo hiyo serikali inabidi itoe elimu ya msingi bure kwa raia wote! na wana mpango wa kuweka elimu ya sekondari ya bure! Undoubtedly this is a very huge commitment ambayo serikali kama ya Tz HAIWEZI (LEAVE ASIDE COUNTER ARGUMENTS ON THIS KWAMBA TUNA RASILIMALI, SO WE NEED KUWEKA VIPAUMBELE). TUNAJUA WOTE SERIKALI VIPAUMBELE VYAKE. Tuna matatizo mengi. Where I come from hatuna hata dispensary ya kijiji, na Iam sure tuko wengi humu! sasa sijui kipi kifanyike, but I can assure you this project ya kuwapa watu mikopo ya 100% is not self sustaining! at all! Maybe we should moot ideas to invite private sector kusaidia kutoa mikopo! Do you think ingekuwa ni mikopo ya benki wanafunzi wangeandamana? i doubt..this tells you more of the whole issue!

Tatizo la serikali imejenga false hopes kwa watanzania kwamba inaweza ikafanya wanayotaka raia either through actions or ommissions, na sana sana wamefanya hivi kwa ajili ya kuscore political credits! Serikali haina muundo madhubuti wa kudeal na hili swala...tunafanya mambo kisiasa sana. I can assure hakuna chi ya maskini kama sisi.. inayoweza kuwapa mikopo hundred % watu wake kupata elimu ya juu. Forget. what we need ni kuweka sera ambazo zinaeleweka tuache maamuzi ya ad hoc basis

Swala la mikopo ni issue kubwa, I agree watu inabidi wsome, lakini vile vile Watz tuwe proactive katika maisha. Ulimwengu wa leo bwana elimu ni personal gratifications. Ndo maana kazi inatangazwa Dar mtu anatoka Peru anakuja kuwa consultant ofisi ya Raisi bongo! Swala la umaskini wa nchi yetu ndo watu wanalitumia, lakini jee, huu umaskini utaisha lini? unless we accept this to be a perpertual reason to justify continued governenment intervention in finanching education!

Kila la kheri my Alma maters at UD!
Sasa hii serikali yetu inaweza nini?
Hatuna katiba imara na mipango thabiti juu ya maendeleo ila sio kwamba hatuna rasilimali ama pesa ya kuyafanikisha hayo.
Mianya ni mingi panya wanatoboa kila sehem
 
Pesa ni kitu kibaya sana, ukiambiwa kitila wa leo ndio huyu wa 2006 unakataa kata kata.
Na ngumi 👊 unaweza kurusha, utaona wanakuletea dharau 😂
 
Dah! Those days nikiwa ndo kwanza new arrival at the hill ...tulikula msoto wa Le profeseri Msolwa tukipambania kitu kinaitwa "means testing". Watoto wa leo Wana cha kujifunza hapa
 
Kama kawaida ya serikali ya CCM-kutoa majibu rahisi kwa maswail magumu, dakika chache zilizopita, vijana wetu wa mlimani wameambiwa wafungashe vilivyo vyao warudi nyumbani.

Haya Kikwete huyu aliyeahidi kuwa yeye asingefunga vyuo vikuu kwa sababu ya migomo imekuwaje tena?!
Ndugu Kitila Mkumbo, ile kawaida ya serikali ya CCM kutoa majibu rahisi kwa maswali magumu imeisha!!???
 
Back
Top Bottom