Just imagine

Just imagine

Wanaume wenzangu ngoja niandike kwa herufi kubwa KAMA UNAOA SINGLE MOTHER HAKIKISHA KABURI LA MUMEWE UMELIONA angalia single mother huyu anasema anamheshimu mzazi mwenzie hataki kugombana naye lakin ana mwanaume mwingine

NI UBOYA KUOA SINGLE MOTHER BILA KUONA KABURI LA MUMEWE
 
Hivi kweli ndiyo weye useme tukae sehemu tubadilishane mawazo kweli?Hapana mkuu!Kwa akili zako kweli mimi nikupe zangu nawe unipe zako?Hebu badilika!😂😂😂😂
 
Cause imefika stage nimeamua tu kumrespect I m not posting the mens kila nikipost lazima tugombane
That's childish and you have agreed to be played that way. For how long will you be numb with his words? Yaani mpaka mnagombana huku kila mtu akiwa na mahusiano mapya?! Labda utuambie kuwa huwa mkikutana mnakumbushia( secret relationship) vinginevyo tambia kuwa upo free, fanya yako na akija this time mchane
 
Ananiambia niblock nisiwaone kwanini unapost wanaume in ur profile utashindwa kuolewa!

Sasa wewe unashindwa nn kum-block.... Acha genYe wewe,, kama humtaki mpige block uendelee kupost wanaume wako...

Mambo ya kitoto sana hayo mbona...
 
Tangu nimeachana na mwanaume wangu tuna mwaka mmoja sasa hatuna mawasiliano mazuri tulibahatika kupata mtoto mmoja. Sasa yeye saizi ana mahusiano mapya na ameyaweka public kwa friends na baadhi ya ndugu but why ana nilimit Mimi kuweka picha za wanaume in ma profile, amenambia nisiweke picha yoyote ya mwanaume.

Imagine ungekuwa wewe ungefanyaje? Anasema anajisikia vibaya ataki kuwaona.
Yaonekana bado mnapendana ila "utoto" ndiyo unaowasumbua, maana kama wewe ungekuwa humpendi wala hilo katazo lisingekushughulisha zaidi ungemchukulia RB Polisi ili aache kukusumbua.
 
Tangu nimeachana na mwanaume wangu tuna mwaka mmoja sasa hatuna mawasiliano mazuri tulibahatika kupata mtoto mmoja. Sasa yeye saizi ana mahusiano mapya na ameyaweka public kwa friends na baadhi ya ndugu but why ana nilimit Mimi kuweka picha za wanaume in ma profile, amenambia nisiweke picha yoyote ya mwanaume.

Imagine ungekuwa wewe ungefanyaje? Anasema anajisikia vibaya ataki kuwaona.
Bado mnapendana nyie kila mmoja anamwonea mwenzie wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
U just help me coz sielew Why he is limiting me to post the mens
He might be limiting you tou post men because he is still in love with you or he can't stand the fact that you can be with other men and still look after your son who is his blood.

Kama hutaki hizo kero badilisha namba ya simu na kisha uhame hapo unapokaa.

Kila la kheri
 
Tangu nimeachana na mwanaume wangu tuna mwaka mmoja sasa hatuna mawasiliano mazuri tulibahatika kupata mtoto mmoja. Sasa yeye saizi ana mahusiano mapya na ameyaweka public kwa friends na baadhi ya ndugu but why ana nilimit Mimi kuweka picha za wanaume in ma profile, amenambia nisiweke picha yoyote ya mwanaume.

Imagine ungekuwa wewe ungefanyaje? Anasema anajisikia vibaya ataki kuwaona.
Yaani anakukataza kufanya jambo, na wewe unakatazika...
KIFUPI BADO MNATAKANA
 
Back
Top Bottom