Mizizi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,275
- 391
Kuitwa mswahili wa Kariakoo sio tusi,kama mtoa hoja alivyoelelzea,waanzilishi wa Taifa hili waliishi na kufanya harakati zao katika maeneo ya Kariakoo.Vyama vya TAA,TANU,Congress vilizaliwa Kariakoo.Kwa sasa Kariakoo ni business district,biashara za kila aina zinafanyika pale na watu mbali mbali.
ni kweli sio tusi, lakini inapolinganishwa na mambo mabaya ndio tusi