Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,450
- 3,379
Kuna haja ya kuongeza saut kweli mabaharia wenzangu au volume iko sawa
Bas kama dawa kama kawa
Sisi ndo mabaharia na hili ndo genge letu
Kitu cha kuzingia baharia popote uwapo, hakikisha hutwangushi mabaharia wenzio
Ukipewa papuch ichakaze kweli kweli
Ukipewa kazi ichape kweli kweli
Demu kama ana bwawa chapa mara moja lala roma
Kazi kama hailipi achana nayo
Ni marufuku kwa baharia kuishi kwao yaan kwa mama
Ni marufuku kwa baharia kuwa shabiki wa man united
Ni marufuku kwa baharia kuwa boya boya hakuna habaria boya
Ni marufuku kwa baharia kuwa tapel hakuna baria tapel lakin baharia lazima uwe mtoto wa mjini
Na mengine mtaongeza mabaharia
Sisi ndo mabaharia na huu ndo uzi wetu
Bas kama dawa kama kawa
Sisi ndo mabaharia na hili ndo genge letu
Kitu cha kuzingia baharia popote uwapo, hakikisha hutwangushi mabaharia wenzio
Ukipewa papuch ichakaze kweli kweli
Ukipewa kazi ichape kweli kweli
Demu kama ana bwawa chapa mara moja lala roma
Kazi kama hailipi achana nayo
Ni marufuku kwa baharia kuishi kwao yaan kwa mama
Ni marufuku kwa baharia kuwa shabiki wa man united
Ni marufuku kwa baharia kuwa boya boya hakuna habaria boya
Ni marufuku kwa baharia kuwa tapel hakuna baria tapel lakin baharia lazima uwe mtoto wa mjini
Na mengine mtaongeza mabaharia
Sisi ndo mabaharia na huu ndo uzi wetu