Jumuiya ya Kikristo yamtaka Kikwete ataje viongozi wa dini wanaojihusisha na madawa ya kulevya

huyu ndo rais tuliyenaye!huwa namshangaa sana vitu anavyoongea!UDINI aliuasisi yeye.ameona wananchi wamemdharau hasa christians leo anataka kuwafanya viongozi wa kikristu kunyoosheana vidole!ana hila ya kuwagawa.ana tabia za ajabu ajabu.ni mfitini sana.Akiwa kama rais wa nchi anatakiwa aongee mambo kwa uhakika na afanyie kazi anachokisema sio upupu anaoutoa!SHAME ON HIM
 
Duh mimi ni silent observer. Wote hapo juu mmeongea vitu vizito (kasoro FF) na nakubaliana na hoja zenu wakuu

Mimi sikuongea, nimeweka hiyo habari inayoongewa. Usitie maneno ya mwingine kinywani mwangu, na source nimeiweka, heee babuwee unanini?
 
Kuna mengine aliyosema zaidi ya haya, nimepita mstari kwa mstari sioni mokiwa anataka nini hasa
 

Habari za Kikwete kuhusu madawa ya kulevya, tumebandika hapo juu, sasa tuoneshe udini uko wapi humo? na ukishindwa basi wewe na wenzako mnaoshabikia uongo ndio wadini. Na kama hizo hazitoshi tuletee souce yako utuambie wapi alipoongea hayo mnayozuwa. Wacheni hizo siasa za chai maharage.
 
Si ya leo haya, ndio uongozi wake kumtishia mtu mzima nyau. Si alipelekewa majina ya wauuza unga, mafisadi bandarini, bali majizi ya EPA nini alichofanya? kiduuuuchu kijiko cha sukari ndani ya bahari.
Am challenging him kama atawataja within 6 months not 6 days mimi najitoa humu JF.
 
Sasa kama aliropoka analo, alifikiria kila sehemu unaweka usanii tu ili aonekane anafanya kazi!!:confused2:
 
Nami nawaunga mkono. Rais wa nchi lazima azungumzie jambo kwa ufasaha na siyo kutoa kauli kama za taarabu.
 
Wallah hana ubavu wa kuwataja. Ni propaganda tupu za kujaribu kuset another agenda ili kuwachanganya mawazo WaTZ ili waache kujadili mambo ya muhimu ya kitaifa. Tuliambiwa kuwa kuna viongozi wa dini ambao walikuwa wanaingiza mashangingi kinyume cha sheria... mbona hakuwataja? He is just wasting our time......
 
hizi kikwete ni balozi wa nyumba kumi au Raisi wa nchi.
kauri zake ni kama kiranja wa shule ya msingi hana kauli za kiongozi
nadhani huyo aende kwa mandela akapate semina elekevu
baada ya hapo kwa mzee CASTO
kiongozi uwezi kuongea kwa design ya kushuku watu wa vitu, ukiongea unakuja na shuruhisho na utatuzi wa mambo.
ndio maana yeye tunamlipa hela nyingi na tumempa uwezo wakuchagua wasaidizi wa kutosha kumshauri kwa ajiri yetu,
sasa hawataje na kuchukua hatua.
ngonjera tu, harafu akitoka hapo anasema CHADEMA wanataka kumpindua.
uzee wa kichwa ni mbaya sana.
 
Yan huyu mbaba kwa kuropoka ropoka amezidi kweli, sasa karopoka hilo sijui atasema nini sasa, then nao kwa nin wanamwalika huyu, hawajifunzi tokana na madudu anayongea?
 
Kikwete supposedly ni rais wa nchi. Anayo mamlaka kwa mujibu wa katiba kuwadhibiti wahalifu wote ikiwa pamoja na wale wanaojishughulisha mna biashara haramu. Tangu enzi za marehemu Amina Chifupa amejisifia kuwa na orodha ya watu wanaojishughulisha na madawa ya kulevya. Lakini action taken: nduhu! Either anyamaze au awapishe wale walio na uwezo wa kuchukua hatua kwa sababu nchi inazidi kudidimia.
 
huyu jamaa mdini live,
wenzake jana walitoa tamko kuhusu kukamatwa kwa mbowe mpaka huruma sijui wanalipwa kiasi gani kujimahimbo
 
Askofu Mokiwa amesema wanamuheshimu sana kama Rais na wataendelea kumheshimu kama atawataja viongozi wa dini wanaojihusisha na biashara ya madawa ya kulevya vinginevyo hawatakuwa na njia nyingine zaidi ya kuamini kasema uongo.

Wanasema wanahisi kwa ujumla wao wamedhalilishwa hivyo awataje.
 
At last one money is talking some sense here!

Kikwete we taja tu, katika hili umeingia pabaya sana
 
Lakini yamempataje kuwachokoza Maaskofu? anadhani sanaa zake watazivumilia? ni watu hatari sana hwa na wanaheshima kubwa kwenye jamii hawa. watamharia asipo waheshimu. Kikwete take care















la
 

Kweli ni afadhali mtu unyamaze kimya watu wafikirie wewe ni mjinga; kuliko uongee watu wa-prove kwamba kweli wewe ni mjinga. Huyu alitakiwa awe na cheo cha Nape asiende zaidi ya hapo; ndani au nje ya chama.
 
mjinga tu huyu!!!!!!!!!!!
anaendelea kudhirirsha alivyo mpuuz wa hali ya juu!!!!!
list ya wauza madawa si alisema anayo
si tunakumbuka kilichomuua amina chifupa jamani
 
Hii issue aliongea jana tarehehe 5/6 mbinga na sio hii uloweka hapa ya tarehe 31/5... kama kitu hujui uliza kwanza sio kukurupuka we Faiza vipi... soma hiyo hapo chini!!
Mkuu, watu kama hawa huwa sijibishani nao. Kama wana-act hawajui huwa nawaachaga huko huko. Ukishaona hamna substance- silence is a good answer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…