WAFULA CHEBUKATI, ukimwona na ule upara wake unang'aa unaweza jua ni msomi anayewaza vitu vya maana. Kumbe anawaza kuiba kura na kuongeza kwa mgombea wake, he is likely a corrupt manHongera sana wana Kenya kwa uchaguzi uliokuwa wa uwazi mkubwa.Katika Africa bado sijaona uchaguzi ulioendeshwa vizuri kuliko huu wa Kenya.
Ukweli mchungu Uchaguzi Tanzania ni sehemu ya kupotezeana muda tu.
Nirejee kwenye mada kila nikipiga hesabu jumla ya matokeo yote ya uRais naishia kupata 100.01%.Naomba kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea hiyo 0.1% inatoka wapi mbona kama kuna harufu ya wizi wa kura ?.
1. Ruto 7,176,141 50.49%
2.Odinga 6,942,930 48.85%
3. Luchiri 61,969 0.44%
4. Mwaure 31,987 0.23%
Total 100.01%
Ngongo kwasasa najiandaa kufanya mtihani yangu ya PCM mwakani.
WAFULA CHEBUKATI, ukimwona na ule upara wake unang'aa unaweza jua ni msomi anayewaza vitu vya maana. Kumbe anawaza kuiba kura na kuongeza kwa mgombea wake, he is likely a corrupt man
Unataka kuwa Mechanical Engineer?Ngongo kwasasa najiandaa kufanya mtihani yangu ya PCM mwakani
Kwanza sio 0.1 ni 0.01%Mwl katoa swali tuitafute hiyo 0.1%
Round up/off!estimation
Kwa hesabu hizo HAKUNA KURA ILIYOHARIBIKA hata 1?Hongera sana wana Kenya kwa uchaguzi uliokuwa wa uwazi mkubwa.Katika Africa bado sijaona uchaguzi ulioendeshwa vizuri kuliko huu wa Kenya.
Ukweli mchungu Uchaguzi Tanzania ni sehemu ya kupotezeana muda tu.
Nirejee kwenye mada kila nikipiga hesabu jumla ya matokeo yote ya uRais naishia kupata 100.01%.Naomba kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea hiyo 0.1% inatoka wapi mbona kama kuna harufu ya wizi wa kura ?.
1. Ruto 7,176,141 50.49%
2.Odinga 6,942,930 48.85%
3. Luchiri 61,969 0.44%
4. Mwaure 31,987 0.23%
Total 100.01%
Ngongo kwasasa najiandaa kufanya mtihani yangu ya PCM mwakani.
Kura zilizoharibika huwa hazijuishwi kwenye kura halali. Huwa zinapotezewa. Na ndicho kilichotokea kwa Kenya kwenye majumuisho ya kura.Kwa hesabu hizo HAKUNA KURA ILIYOHARIBIKA hata 1?
Hongera sana wana Kenya kwa uchaguzi uliokuwa wa uwazi mkubwa.Katika Africa bado sijaona uchaguzi ulioendeshwa vizuri kuliko huu wa Kenya.
Ukweli mchungu Uchaguzi Tanzania ni sehemu ya kupotezeana muda tu.
Nirejee kwenye mada kila nikipiga hesabu jumla ya matokeo yote ya uRais naishia kupata 100.01%.Naomba kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea hiyo 0.1% inatoka wapi mbona kama kuna harufu ya wizi wa kura ?.
1. Ruto 7,176,141 50.49%
2.Odinga 6,942,930 48.85%
3. Luchiri 61,969 0.44%
4. Mwaure 31,987 0.23%
Total 100.01%
Ngongo kwasasa najiandaa kufanya mtihani yangu ya PCM mwakani.
Kwa hesabu hizo HAKUNA KURA ILIYOHARIBIKA hata 1?
Nisamehe, mimi Ngumbaru sielewi hizo mbanga zenu wasomi nyieKura zilizoharibika huwa hazijuishwi kwenye kura halali. Huwa zinapotezewa. Na ndicho kilichotokea kwa Kenya kwenye majumuisho ya kura.