Hadija Natalia
New Member
- Nov 14, 2016
- 1
- 0
Nasikia Black friday ya Jumia imerudi kwa mara nyengine tena na safari hii unapata zaidi, unaweza kupata vitu vyenye punguzo la bei mpaka 70%. Inasemekana inaanza kuanzia tarehe 21 mpaka 25, mwezi huu. Jamani kuna mtu alishawahi kushiriki kwenye hii sale kipindi cha nyuma ili atupe maelekezo zaidi.