Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,553
- 2,992
Nimepokea sms takriban 8 kwa wiki hii kujulishwa kuhusu dira ya taifa ya maendeleo itayodumu mpaka 2050 kupitia kifaa changu cha mkononi ila nimeshindwa kuwajibu kwa sababu kuu mbili simu inaji-cancel before sijamaliza kujibu na sababu nyingine uchangiaji upo very limited siwezi kuchangia kwa uwanda mpana, hivyo kama kuna uwezekano tunaomba mtafute njia nyengine ya kutoa mapendekezo yetu kuhusu hili dodoso.
Mwisho, tunachangia au tayari mshatutengenezea hiyo dira yenu?
Mwisho, tunachangia au tayari mshatutengenezea hiyo dira yenu?