Jumanne Muliro kumrithi IGP Sirro?

Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro

IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika

Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae

IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Kwa mambosasa hapana
 
Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
Sio lazima awe DCP au CP rejea Mangu aliteuliwa akiwa SACP
 
Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro

IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika

Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae

IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Alimwongezea kwakuwa alikuwa shemeji ake
 
Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
Walio wengi walitoka ACP au S/ACP na kuwa MaIJP, Mahundi, Mahita na Said Mwema.
 
Mzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.

Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
namwomba sana Mwenyezi Mungu aletwe hata Luteni kanali wa Jeshi la wananchi awaongoze, police mmeshindwa kusimamia haki kutendeka kabisa katika nchi hii
 
Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
Rais aweza kumpandisha SACP yeyote kuwa IGP kutokana na mahitaji yake kama sifa za DCP au CP waliopo hazitatosha kutokana na Vetting. Siyo lazima afuate hiyo order iliyopo kwamba kuna DCP na CP.
 
Mzee Sirro amekaribia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya Jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Muliro atachukua nafasi ya Sirro.

Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa

Unamfuatilia wewe Kama Nani ?
 
Back
Top Bottom