Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro
IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika
Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae
IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027
Sent from my TECNO-N2 using
JamiiForums mobile app