Jumanne Muliro kumrithi IGP Sirro?

Jumanne Muliro kumrithi IGP Sirro?

Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
Haruna Mahundi alikuwa na cheo kidogo alipoteuliwa kuwa mkuu wa polisi hiyo haiwezi kuwa sababu
 
Huyo mlilo hafai kabisa na hawezi kufiti kwenye nafasi hiyo
 
Ahmed Msangi: The Deputy Director of Criminal Investigation in Zanzibar. A former Regional Police Commander (RPC) in Mbeya and Mwanza, Police Spokesperson and Deputy Commissioner of Police (DCP).
Msangi sawa hata Mimi naunga mkono kumrithi Siri,Ila mambosasa hapana,muongo Sana huyo.
 
Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro

IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika

Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae

IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027
Kusaidia xxm kuiba kura ndio kuchapa kazi?
 
unadhani kama itatokea atachaguliwa afisa wa cheo kipi jeshini kuongoza polisi kama igp???
Kuanzia kanali sawa pamoja shule ikiwemo NDC nk

Pia inategemea na itakavyompendeza mteuaji na vetting kuhusu mteuliwa
 
Kuanzia kanali sawa pamoja shule ikiwemo NDC nk

Pia inategemea na itakavyompendeza mteuaji na vetting kuhusu mteuliwa
kanal bado mdogo,anatakiwa mtu ambaye ameshaonja radha ya kuwa mwamuzi wa mwisho.

brigade intosha kuwa tuition ya kuwa IGP,ingawa taaluma nayo kipengere.
 
Back
Top Bottom