Mteuzi ndo mwenye mamlaka hata koplo akiamua umteua wanaweza wakawa na sifa lakini je wamejibrand?Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muroto Hana elimu Wala weledi wa kua IGP. Lakini Ni Bora Muroto awe IGP kuliko Mambosasa.
Mambosasa level yake Ni kua RPC Usweken huko Katavi.
Elimu elimu elimuWampe msangi hiyo nafasi, kazi iendelee
Kama ni hivi Rais amfute kaziHuyu ni mhalifu mwenye uniform za polisi tu
Ni yule RPC wa Mbeya auWampe msangi hiyo nafasi, kazi iendelee
Mabeyo alikua luten general ndipo akapandishwa kuwa general.... Pia hata kama rais anafanya anavyotaka hawezi kumchukua koplo na kumpandisha vyeo na kumfanya kuwa IGP .lazima atachagua wale seniors haijalishi ni cheo gan lakin atacheza kwenye walewale senior officersPia Ernest Mangu alikua na Cheo cha chini kidogo
Jamaa bila aibu alienda kunywa chai kwa victim wa utekaji na baada ya kutoka hapo akaonewa dereva teksi.Mambosasa analea jambazi anafahamika
Wakati wa kifo cha Aquilina Akwilini RPC kinondoni alikuwa Muliro Jumanne.Mzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Ahmed Msangi: The Deputy Director of Criminal Investigation in Zanzibar. A former Regional Police Commander (RPC) in Mbeya and Mwanza, Police Spokesperson and Deputy Commissioner of Police (DCP).Ni yule RPC wa Mbeya au
Ahmed Msangi: The Deputy Director of Criminal Investigation in Zanzibar. A former Regional Police Commander (RPC) in Mbeya and Mwanza, Police Spokesperson and Deputy Commissioner of Police (DCP).Elimu elimu elimu
Muliro kule kanda pendwa ni Moto... Aje awashe motoNasemaje Huyo Muliro Apewe tu ndugu zangu! Na huo ndio Ukweli ndugu zangu [emoji6]
Hujui unachokisema. Anybody kuanzia ACP anaweza teuliwa kuwa IGP na mifano ipo !!Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
Mbona Mahita aliteuliwa kuwa IGP akiwa na cheo cha ACP?Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.