Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,534
- 61,962
Sasa hivi ni zamu ya Pwani, IGP atatoka Zenji
Hili jina lipewe hadhi yake tafadhali, Peyea Jumong yupo kwenye makazi yake ya "Three leg bird nation".jumong
Ha ha haHili jina lipewe hadhi yake tafadhali, Peyea Jumong kwenye makazi yake ya "Three leg bird nation".
Wapi Msangi?
Mambosasa awe IGP wa nchi gani? Mkoa tu unamshinda itakuwa nchi? Unamjua yule Mfipa unamsikia? Kitu pekee anachoweza kukifanya Mambosasa na kikafanikiwa 100% ni majungu. Anajua sana kupiga majungu yule baba.Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro
IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika
Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae
IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Swala la vyeo si anapewa tu.Hao wote mlio wataja hapo vyeo vyao ni vidogo sana vya kuteuliwa kuwa IGP maana kuna vyeo viwili juu yao DCP na CP bila shaka kuna watu wenye vyeo hivyo tajwa hapo juu wanasifa za kuwa IGP. Ila yote kwa yote hongereni kwa kuwapigia debe washua wenu waje kuwa ma IGP.
Mambosasa ambaye aliambiwa na magufuli kwamba watz sio wajinga au kuna mambosasa mwingine ?Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro
IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika
Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae
IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Watapata tabu sana ...Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro
IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika
Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae
IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Yuko zanzibar kazi maalum.Wapi Msangi?
MAMBOSASA !!!??? Are you serious !!!???Mzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
kama wewe ndio unae teua basi sawaMzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Ernest Mangu alikuwa IGP from SACP
Tung'olewe kucha vizuri....Wampe msangi hiyo nafasi, kazi iendelee
Basi Kumbukumbu zako haziko sahihihapana hapana
Ernest Mangu alimaliza vyeo vyote kwenye jeshi la polisi, Sirro na Andengenye wamevaa cheo cha DCP pamoja katika batch moja na Mangu pia kama sitasahau
Na zilivuja kabisa taarifa kuwa waliokuwa wanapendekezwa na TISS kuukwaa uIGP walikuwa watatu i.e Mangu ambae alikuwa CP kama kumbukumbu zangu zitakuwa sahihi , Thobias Andengenye aliekuwa na cheo cha DCP na wa tatu alikuwa Diwani Athumani aliekuwa na cheo cha ACP
Hakuna Rpc asiyefaa kama huyu jamaa funga kopo lako.Mzee Siro amekabia kustaafu, kwa nidhamu na maendeleo ya jeshi la Polisi sisi tunaofuatilia utendaji wa Ma RPC tunaweza kusema Mlilo Jumanne atachukua nafasi ya Siro.
Kwa namna alivyotuliza Mwanza, kwa alivyofanya kazi DSM na kwa anavyojiamini kwenye kujenga hoja natamani kuona yeye au watu wa aina yake wakikabidhiwa Jeshi kuliko kuwakabidhi aki Mroto au Mambo sasa
Huyu mama itabidi ajichunge sana aachane na maoni ya mitandanoni katika kutoa maamuzi ya mustakhabali wa nchi. Nilisoma sehemu kuwa anafuatlia sana mitandano. Hawezi kuwa kiongozi wa kufurahisha mitandano yote, in fact wananchi wengi hawako kwenye mitandao, ndiyo maana uchaguzi wa mtandaoni uliwahi kumpa Lissu 70% na uchaguzi halisi ukampa 15%Uuuwiii ,,,,,Jamani tutakuwa tunamuundia majungu IGP Sirro
IGP aliepita kwa heshima Said Mwema aliongezewa muda na JK kama miaka minne mbele baada ya umri wa kisheria wa IGP Mwema kustaafu kufika
Na pia hata Mambosasa ni Afisa kamishna wa Polisi mchapakazi sana , ni ngumu kumpata mtu kama Mambosasa (uchapakazi ni tabia adimu sana kwa sisi binadamu wenye ngozi nyeusi) kwa hiyo naomba tusimuundie majungu nae
IGP Sirro kama akiongezewa muda kama alivyoongezewa Said Mwema basi atastaafu mwaka 2027
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Muroto anawasubili kwa hamu na bashasa wale wanaotarajia kusafiri kutoka Geita kuja kumnanga spikaMuroto Hana elimu Wala weledi wa kua IGP. Lakini Ni Bora Muroto awe IGP kuliko Mambosasa.
Mambosasa level yake Ni kua RPC Usweken huko Katavi.