Mzee wa counter attack yule.Hili lazima Lissu atalisema tu
Wanajipa moyo tu. Mtu ashinda anamsubiri siku nzima hana kazi?? Wanaccm bwana wamepaniki hadi akili zimewatoka. Wamepwaya.Na nashauri akaanzie moshi. Leo nimemsikia mwanachama mmoja wa ccm kwamba viongozi wao wanawaambia kwamba wanaohudhuria mikutano ya Lissu hawatampa kura. Sasa akawa anauliza hivi ni kweli lisuu umati wote anao kutana nao wasimpe kura?.nilichomjibu achana na ujinga huo,lowassa walisema hivyo na kapata kura 6 kwa milioni 8. Na watu wanamwamini zaidi Lissu kuliko magu,kwa sababu magu amedanganya sana,
Hata hivyo hachomoki. Asimame nchale akae nchale.Mgombea wa tume baada ya kwenda garage sababu ya kuchezea spana za Lisu wamemlazimisha Lisu kwenda likizo ya lazima
Moto kote koteHata hivyo hachomoki. Asimame nchale akae nchale.