Uchaguzi 2020 Jumamosi ya tarehe 10 Oktoba itakuwa siku ya kutamaniwa na makundi mengi kumsikiliza Tundu Lissu baada ya kufungiwa kufanya kampeni

Mgombea wa tume baada ya kwenda garage sababu ya kuchezea spana za Lisu wamemlazimisha Lisu kwenda likizo ya lazima
 
Na nashauri akaanzie moshi. Leo nimemsikia mwanachama mmoja wa ccm kwamba viongozi wao wanawaambia kwamba wanaohudhuria mikutano ya Lissu hawatampa kura. Sasa akawa anauliza hivi ni kweli lisuu umati wote anao kutana nao wasimpe kura?.nilichomjibu achana na ujinga huo,lowassa walisema hivyo na kapata kura 6 kwa milioni 8. Na watu wanamwamini zaidi Lissu kuliko magu,kwa sababu magu amedanganya sana,
Wanajipa moyo tu. Mtu ashinda anamsubiri siku nzima hana kazi?? Wanaccm bwana wamepaniki hadi akili zimewatoka. Wamepwaya.
 
Wamempa Lisu muda wa kupumzika na kujiandaa kummaliza Magufuli.

Labda wamfungie tena siku 14.
 
Back
Top Bottom