Jamaa mmoja alikuwa na mke na mtoto mmoja mtoto alikuwa analaka sebuleni mtoto kila siku alikuwa anamwambia baba yake itoe hiyo gari tuwe tunaendesha wote baba akawa hamwelewi mtoto siku nyingene mtoto akarudia kumwambia dingi kuwa hiyo gari itoe tuwe tunaendesha wote dingi akaamua kumuuliza mtoto wake vizuri kuwa kila siku unasema gari gari gani? Mtoto akasema mbona huwa nasikia mama anasema ikisamaa upande?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.