Juma Mohammed Mchopanga a.k.a. Jay Moe

Juma Mohammed Mchopanga a.k.a. Jay Moe

Wasanii wa bongo flavor wana majina mabaya na mabovu lakini wanavyojua kuyajaradia utadhani keki kumbe uchafu mtupu.
Embu fikirikia jina la Mchopange.
Mkuu,
Mchopanga Kwenu ni tusi nini?
 
Kwenye nyimbo ya Jay more inaitwa Jipange aliimba ''salaam salaam kwa kaka voda millionea mwambie wadogo zako waache kula poda wale mmea'' akiwa na maana langa na mangwea waache kula madawa ya kulevya kama heroin na cocain wavute bange tu.

Lakiini Langa akamjibu kwenye nyimbo yake na kusema ''salaam salaam kwa kaka voda milionea mwambie mshikaji wako aache ushoga na uumbea'' Hiyo ilikua mwaka 2010.
 
naombeni mnipatie japo track moja ya dogo Hasheem, sijawahi kumsikia ila naskia sana sifa zake.
 
Kama humjua Hashim Dogo basi huujui vizuri mziki wa Hip-Hop TZ. Dogo hashim wa Afroreigh na Kikosi.

Uyo hasheem unamjua ww na watoto Wa mizinga wenzio ila ukiwauliza watz watakwambia Mo n best ya uyo HASHEEM

jay Mo ,Mo technic n msanii ambae kaimba karibu mambo yote yanaihusu Jamii
He z real definition of Bongo hip hop
 
Nadhani tatizo ni nyota Mo mbona ni bingwa sana
 
Huyo Hashim simjui, but JMO ni jembe haihitaji tochi kuliona hilo
 
Hashim Dogo wanamjua watu waliokua wanaenda kwenye matamasha na mashindano ya ku rap enzi hizoooo hapa Dar

Hana hit yoyote iliowahi kubamba redioni hadi mtu wa mtwara au madongo kuinama akaipenda bila kumuona
Umaarufu wa Dogo Hashim ni wa kimtaani taani tu, kujua kuchana

Na ndio maana ukiomba track yake hata moja hapa utaishia kupigwa sound tu, sasa unajiuliza huyu nguli wanavyomtete ni bora hizo track zake wanasikilizaga wapi?
Most of them walimsikia anachana stajini au waliambiwa kuna kichwa kinaitwa hashimu

Jay more ni mtamu kwenye tungo lakini flow yake inachosha, hana ubunifu sana na ameshindwa kwenda na mahitaji ya walaji wake,
Pengine angejaribu kufanya kazi na maproduza wengine wakambadilisha kidogo kuliko kukomaa na majani ambaye wameshindwa kurudi kama awali
 
Hashim ndie yule aliechana kwny ngoma ya "Tunasonga" na Kikosi au
 
alizoshirikishwa sasa zeze na TID, ingekuwa vp - mwana FA, misosi mitungi na pamba - ay, nitoke vp-kylin, jirushe ft ferooz na nyingine kibao jamaa anatisha Bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom