007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 901
- 486
Kwenye nyimbo ya Jay more inaitwa Jipange aliimba ''salaam salaam kwa kaka voda millionea mwambie wadogo zako waache kula poda wale mmea'' akiwa na maana langa na mangwea waache kula madawa ya kulevya kama heroin na cocain wavute bange tu.
Lakiini Langa akamjibu kwenye nyimbo yake na kusema ''salaam salaam kwa kaka voda milionea mwambie mshikaji wako aache ushoga na uumbea'' Hiyo ilikua mwaka 2010.
Kweli mkuu naikumbuka hii.pia langa katika nyimbo ya 'kifo, jela au taasisi' alisema tena #salaam kwa kaka voda millionea mwambie moe nimeisha acha poda na sili mmea'