Juma Kimaro kuongea na Wanahabari hivi punda!

Baada ya mechi hii nimeamua kutoka Arsenal na kuhamia Man U kuunga mkono juhudi za Mourinho kuutafuta Ubingwa, maana kila anachofanya Mourinho ni yale yale tuliyokuwa tunayapigania huku Arsenal kwa miaka mingi, hivyo hakuna haja ya kuendelea kupingana na Man U. Narudi Nyumbani
hahaha
 
Nimepata ule ugonjwa wa mheshimiwa,wanauita Parkinson nadhani.
Kweli dhihaka nyingine hadi shetani zinamduwaza! Unaufanyia ugonjwa alionao mgonjwa masihara n autani wa kitoto hivi!? Ugojwa hauombwi useme aliuomba kwa maslahi yake! Laiti ningalikuwa na uwezo wa kuuhamisha ugonjwa ule uje kwako kwa siku moja tu uuonje utamu wake! Kuweni na hekima enyi watoto! Au unataka kwenda haraka kama wenzako waliomkashifu kipindi cha uchaguzi?
 
Kweli dhihaka nyingine hadi shetani zinamduwaza! Unaufanyia ugonjwa alionao mgonjwa masihara n autani wa kitoto hivi!? Ugojwa hauombwi useme aliuomba kwa maslahi yake! Laiti ningalikuwa na uwezo wa kuuhamisha ugonjwa ule uje kwako kwa siku moja tu uuonje utamu wake! Kuweni na hekima enyi watoto! Au unataka kwenda haraka kama wenzako waliomkashifu kipindi cha uchaguzi?
Najua huwezi..mbona sijataja jina la mtu kiongozi!
 
Back
Top Bottom