Juma Kimaro kuongea na Wanahabari hivi punda!

Juma Kimaro kuongea na Wanahabari hivi punda!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Ameita wana habari ngoja tusikie atasema nini, usiende mbali nitawaletea kinachoendelea, ...
 
Mmeshanunua gunia la koroshi
 
Tanzania tulikataa utumwa wa kuuza na kununua watu

CCM wanaurudisha kwa kasi
Hao wanaonunuliwa na akili zao ziko selo au?
Kwanini kiongozi imara ukubali kununuliwa zaidi unapoteza credibility yako.....nadhani kuna yaliyojificha zaidi ya tuhisivyo ni kununuliwa....
Vipi wale wanaotoka kijani kwenda upinzani nao wananunuliwa? Au bei zipo kjani tu?
 
Baada ya mechi hii nimeamua kutoka Arsenal na kuhamia Man U kuunga mkono juhudi za Mourinho kuutafuta Ubingwa, maana kila anachofanya Mourinho ni yale yale tuliyokuwa tunayapigania huku Arsenal kwa miaka mingi, hivyo hakuna haja ya kuendelea kupingana na Man U. Narudi Nyumbani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom