Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

Juma Duni mgombea mwenza UKAWA yuko wapi?

JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?

Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.

Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.

Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa

Juma Duni mbona kimya sana, ukweli ni upi makamanda.
 
Hawezi kujitoa maana taifa litapata hasara ya kuahirisha uchaguzi
 
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?

Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.

Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.

Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa

Yupo mapumzikoni Pemba.
 
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?

Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.

Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.

Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa


UKAWA ni gunia la viwavi njaa hakuna mwanasiasa hata mmoja; wote wanalilia masilahi tu yani aibu
 
Amepumzika sababu jeshi la Lowassa na Sumaye linatosha ameona ajiandae kukabili shughuli za kutumikia wananchi kwani wanasubiria kuapishwa tu
VIVA UKAWA!!
 
Dhamira imemsuta kujitoa cuf kaamua kurudi kimyakimya.
 
UKAWA ni gunia la viwavi njaa hakuna mwanasiasa hata mmoja; wote wanalilia masilahi tu yani aibu

Kama CCM wangekuwa siyo VIWAVI njaa vya kukimbilia UONGOZI nadhani safafri hii wangeacha kabisa kuteua wagombea kwenye nafasi zote ,wakawaacha wapinzani tu.

Ila kwasababu wote wanasiasa wanataka kushika DOLA/MADARAKA basi wote ni VIWAVI wanaotafuta maslahi binafsi kwanza ya TAIFA baadaye.

Safari hii hatudanganyiki hata baada ya kutuambia GADAFI ni rais wa .................
 
Kama CCM wangekuwa siyo VIWAVI njaa vya kukimbilia UONGOZI nadhani safafri hii wangeacha kabisa kuteua wagombea kwenye nafasi zote ,wakawaacha wapinzani tu.

Ila kwasababu wote wanasiasa wanataka kushika DOLA/MADARAKA basi wote ni VIWAVI wanaotafuta maslahi binafsi kwanza ya TAIFA baadaye.

Safari hii hatudanganyiki hata baada ya kutuambia GADAFI ni rais wa .................

Mwe babu duni ni tatizo bhnaa
 
Back
Top Bottom