Chadema mashina yao yapo wapi? Huyo seif kaingia dar jana saa 9.30 alasiri kuja kumtuliza babu duni.cuf,nccr na chadema mwisho wao October 25Ulitaka aje nyumbani kwako?Duni hukumuona last week akifanya kampeni?na hii wiki amekuwa na mikutano huko mashinani pia anamsaidia raisi wa Zanzibar mwalimu self kufanya kampeni pia,ccm sera zimeisha wamebaki na porojo tu
Kwani samia mbona naye kanywa maji ya battery hata kusikika kwenye taarifa ya habari ni muujiza?
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?
Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.
Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.
Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa
JUMA DUNI KAPOTELEA WAPI?
Mgombea mwenza Ukawa Babu Duni amekata tamaa kabisa ya kutoendelea na mikutano ya kampeni kutokana na zomeazomea kuendelea kuikabili Ukawa.
Hata hivo kuna uwezekano Babu Duni akawa amesoma upepo mapema hivo kuamua kijiondoa ili kupunguza upotevu wa gharama.
Mbali na hivyo kwa taarifa za ndani kutoka CUF inasemekana anatakiwa arudi CUF kwasababu Ukawa wamekiuka makubaliano yaliyoafikiwa juu ya usawa wa vyama shiriki ukawa hivyo anatakiwa kujiondoa haraka Chadema arudi CUF na huo ndio utakua mwisho wa Ukawa
Yupo likizo, ameambiwa apumzike kidogo
Endelea na ndoto yako ndugu