muheshima Juma popote ulipo njo uendelea na kampeni tumeshawaambia wananchi waache zomea zome zao njo uendee bana na kampeni maana siku zenyewe zinakwisha, mbona mama azomewi!!
mama yako anasikitika sana kuwa na mtoto kama ww!!
Vijana wapya wa c.c.m wenye id mpya za kupokezana a..k.a buku 7 team...
**mmefulia mnaleta viroja badala ya hoja!
Si kweli, kilichomkatisha tamaa ni kile alicho sema Dr. Slaa kuwa Chadema wame hamishia choo cha CCM chumbani kwao, baada ya mgombea kujiachia na choo Laivu. Kumbuka yule ni Mpemba wenzetu wanakuwa na Taasisi tofauti kwa tukio Kama lile.
Alikwenda Hijja toka jumatatu,nadhani atarudi jpili
Ameenda hijja, acheni propaganda
Ccm mwaka ndo wamekuwa kama wapinzabi angalia hata mada wanazoanzisha ni za kiupinzani zaidi
Mama Samia katika ubora wake
Ndio kazi anayoiweza.Na baba Samia huyu hapa, kweli mwaka huu ni vituko kweli mara Push up mara kusonga Ugali na ndio maana yule mama ameamua kujiweka kando
![]()